Posho na Mishahara ya wabunge...

...............
Alipohojiwa kwanini wasianze wabunge wote kama kweli anakubaliana na Zitto, jibu lake likawa ni kwa sababu shida za wabunge zinatofautiana, na kwa wabunge wengi kama yeye wanatumia pesa hizo kuwasaidia wapiga kura wao kila wanapotembelea majimbo yao.

My take: JE PESA ZILIZOTENGWA ZA MFUKO WA JIMBO ZINAFANYA KAZI GANI NDUGU CHILIGATI??????:


:disapointed:
:disapointed::disapointed::disapointed: Aiseeee hawa wazeee wetu wanzeeka vibaya . Kwamba wanatumia mishahara yao kuwasaidia wapiga kura. So kwa mujibu wake ni bora wabunge waongezewe mshahara ili wandelee kuwasaidia wapiga kura wengi zaidi.

Is this true huyu jamaaa katamka hivi.????? Hii siasa zetu tanzania ni kichekesho . Hope wananchi wa jimbo lake hawaipati hiyo cluds huko.


Kwa maana hiyo mbunge akitoka kijiji fulani basi hicho kijiji kitanemeeka kuliko vijiji vingine? Je abla hajawa mbunge mbunge aliyemtagulia jimboni wake alisamidia nini au alisaidia nini wazazi wake chiligati ?


Alitakiwa amuulize anaona ni halalai mbunge kukuoea mshahara mubwa kuliko AFsa
elimu wa mkoa. Mganga mkuu wa mkoa,, Mhandisi wa Mkoa, Afisa Kilimo wa Mkoa au Afisa Mifugo. Kwa nini wabunge hawapiganii watu hawa wawe na mishahara minono kama wao au zaidi yao?

Mchango wa mbunge kuleta mabadiliko endelevu kwenye maisha ya ya jamii ni mdogo sana. Nchi hii inahitaji watendaji si wanasiasa. Watendaji ndo wanatakiwa kupewa vinono ili wasikimbilie kwenye siasa.


kama kweli katamka maneno haya

Its disgusting kusoma kuna mammtu yako kwenye high rank ya chama kilichopo madarakani yanatamka maneno kama haya
 
Hiki ni kipindi chao,wanaenda kutetea upuuzi bungeni na kunenepesha matumbo,watz wajiulize baada ya kikao cha bunge lililopita viongozi wao wamefanya nini mpaka sasa,wengine ni kama wameenda likizo,mfano waziri mkuu yupo wapi,lakini bunge likianza utawasikia wanavyochemka kupitisha hoja za kukandamiza wananchi,hawana huruma na watanzania.
 
Mmmh! ama kweli kuna kazi kwa CCM kujivua Gamba. Nilikuwa nasikiliza Clouds Radio sasa hivi na nikasikia mahojiano kati ya Mtangazaji wa Clouds na Naibu Katibu Mkuu wa CCM JOhn (Tukokati) Chiligati kuhusiana na Kauli ya Zitto Kabwe juu ya kuondoa posho mbalimbali zikiwemo za vikao vya wabunge wanapokuwa Bungeni.

Sikuamini masikio yangu Chiligati aliposema kuwa anakubaliana na Zitto juu ya kauli hiyo, ila anashauri utekelezaji wake usianze mara moja kwa wabunge wote.

Anapendekeza kuwa utekelezaji wake uanze kwa wabunge wa CHADEMA, mpango huo ukifanikiwa ndipo na wabunge wengine watafuata.

Alipohojiwa kwanini wasianze wabunge wote kama kweli anakubaliana na Zitto, jibu lake likawa ni kwa sababu shida za wabunge zinatofautiana, na kwa wabunge wengi kama yeye wanatumia pesa hizo kuwasaidia wapiga kura wao kila wanapotembelea majimbo yao.

My take: JE PESA ZILIZOTENGWA ZA MFUKO WA JIMBO ZINAFANYA KAZI GANI NDUGU CHILIGATI??????:
I think Chiligati had a slip of the tongue, if he denies, then he needs to admit that is in the wrong post.
 
Kwanza hamkumbuki kule Iringa Diwani mmoja wa chama cha magamba alimuuliza ameponaje kutokuvuliwa gamba katika mkutano wao wa kujinasibu kusudio la kujivua magamba na tangu siku hiyo sikumbuki ni lini aliambatana na Nauye kueneza propaganda zao za kujivua gamba. Kama kwao wamemkataa atakuwa balozi wa nyumba ya nani
 
Mmmh! ama kweli kuna kazi kwa CCM kujivua Gamba. Nilikuwa nasikiliza Clouds Radio sasa hivi na nikasikia mahojiano kati ya Mtangazaji wa Clouds na Naibu Katibu Mkuu wa CCM JOhn (Tukokati) Chiligati kuhusiana na Kauli ya Zitto Kabwe juu ya kuondoa posho mbalimbali zikiwemo za vikao vya wabunge wanapokuwa Bungeni.

Sikuamini masikio yangu Chiligati aliposema kuwa anakubaliana na Zitto juu ya kauli hiyo, ila anashauri utekelezaji wake usianze mara moja kwa wabunge wote.

Anapendekeza kuwa utekelezaji wake uanze kwa wabunge wa CHADEMA, mpango huo ukifanikiwa ndipo na wabunge wengine watafuata.

Alipohojiwa kwanini wasianze wabunge wote kama kweli anakubaliana na Zitto, jibu lake likawa ni kwa sababu shida za wabunge zinatofautiana, na kwa wabunge wengi kama yeye wanatumia pesa hizo kuwasaidia wapiga kura wao kila wanapotembelea majimbo yao.

My take: JE PESA ZILIZOTENGWA ZA MFUKO WA JIMBO ZINAFANYA KAZI GANI NDUGU CHILIGATI??????:

Wamesahau na kuzihodhi kwa matumizi yao binafsi. Pia inasadikika zilipitishwa mahsusi kwa ajili ya kampeni!
 
huyu chiligati naye ana upungufu wa kinga kichwani mwake
ni ujinga tu anafikiri kila wakati
kwanza ameshamaliza deni la mkopo alionunulia kura jimboni mwake?
shame uponi you chiligati
 
mh hapa kaz ipo! Hv wanajua n vp watu wa chini 2naishi inakuwaje m2 anayepokea millions! Please what does th have thnk about us the have not!!
 
Chiligati ni Vuvuzela, hana upana ktk fikra zake, anaropoka upupu, nadhan yupo kimaslah zaidi na ndio maana alikimbia jeshi, yule bwana kwata lilimshinda na siasa anachemsha pia! Anashetani ndani yake!
 
NimsikIa mwenyewe Nape jahazi clouds akisema swala la posho za wabnge linajadili u
 
TBC muda huu Kuna mahojiano,

Mh Ndugai Kaulizwa swali kuhusu kupunguziwa posho zao kashindwa kutoa jibu na msimamo wake

Na Mh. Hamad Rashid wa CUF yeye kasema posho analipwa 150,000 analala hotel shiling 80,000 Anamlipa dereva wake sh 30,000/= na kula elf 40,000/= na kumaliza kwa kusema kuwa haoni kama kuna hela inabaki hapo,

Swali langu ni, Hivi dereva wa mmbunge analipwa na Mbunge??,
Hivi wabunge wanalipwa shilingi ngapi kama posho??, coz hiyo figa nanikumbuka na ni ya kitambo, nikosoeni kama nimekosea, nielimisheni inapowezekana!
 
Naibu Spika Job Ndugai, amewaambiwa wabunge wa kambi ya upinzani wanaosema posho za wabunge ziondelewe waonyeshe mfano kwa kuiandikia ofisi ya bunge (Spika) kuomba kuondolewa posho zao na wao wataziondoa haraka>

Amesema kitendo cha wabunge hao kuongea kwenye majukwaa ya kisiasa kuhusu kuondolewa kwa posho hizo hakina tija na wanapaswa kuongoza kwa mfano kwa kuandika barua kwa spika ili posho zao zianze kuondolewa kwanza.

Source: TBC 1 asubuhi hii, kipindi cha Jambo Tanzania.
 
TBC muda huu Kuna mahojiano,

Mh Ndugai Kaulizwa swali kuhusu kupunguziwa posho zao kashindwa kutoa jibu na msimamo wake

Na Mh. Hamad Rashid wa CUF yeye kasema posho analipwa 150,000 analala hotel shiling 80,000 Anamlipa dereva wake sh 30,000/= na kula elf 40,000/= na kumaliza kwa kusema kuwa haoni kama kuna hela inabaki hapo,

Swali langu ni, Hivi dereva wa mmbunge analipwa na Mbunge??,
Hivi wabunge wanalipwa shilingi ngapi kama posho??, coz hiyo figa nanikumbuka na ni ya kitambo, nikosoeni kama nimekosea, nielimisheni inapowezekana!

Hiyo ndiyo Tanzania inayoishi bila Nyerere. Tanzania bila Nyerere inawezekana.
 
TBC muda huu Kuna mahojiano,

Mh Ndugai Kaulizwa swali kuhusu kupunguziwa posho zao kashindwa kutoa jibu na msimamo wake

Na Mh. Hamad Rashid wa CUF yeye kasema posho analipwa 150,000 analala hotel shiling 80,000 Anamlipa dereva wake sh 30,000/= na kula elf 40,000/= na kumaliza kwa kusema kuwa haoni kama kuna hela inabaki hapo,

Swali langu ni, Hivi dereva wa mmbunge analipwa na Mbunge??,
Hivi wabunge wanalipwa shilingi ngapi kama posho??, coz hiyo figa nanikumbuka na ni ya kitambo, nikosoeni kama nimekosea, nielimisheni inapowezekana!

ANAKULA 40,000/= KWA SIKU DU??HUYU MUISLAM NI SOO,HII SI NI BEI YA MBUZI MKUBWA BEBERU NA KRET MBILI ZA KILIMANJARO,NA MAJI KATON MOJA KWELI JAMAA YUKO JUU

ANAMPA DEREVA WAKE 30,000/= PER DAY MAANA YAKE JAMAA ANATENGENEZA

30,000 X 30=900,000/=
SASA BUNGE HILI N LA MIEZI MITATU
900,000 X 3=2,700,000/=
MSHAHARA WA DEREVA SH 900,000/= KWA MWEZI HAIWEZEKANI

SI KWELI HUYU MPEMBA ANADANGANYA UMMA

mnafki tuu hana lolote
 
mpuuzi mkubwa huyu Ndugai
anatumia makalio kuanalyse

Hapa wapinzani wanataka mfumo urekebishwe ili kujaribu kuleta usawa na si kugomea posho.

Wapinzani wanazungumzia MFUMO kugomea posho/mishahara hakutasaidia chochote.


Ila katika hali ya kawaida, inawezekana kweli kwa mbunge au mfanyakazi yeyote wa serikali au wa makampuni binafsi kutoka nje ya kituo chake cha kazi for official duties bila ya kulipwa posho??? Kuwa muwazi weka siasa kando
 
mpuuzi mkubwa huyu Ndugai
anatumia makalio kuanalyse

Hapa wapinzani wanataka mfumo urekebishwe ili kujaribu kuleta usawa na si kugomea posho.

Wapinzani wanazungumzia MFUMO kugomea posho/mishahara hakutasaidia chochote.

HAPO KWENYE NYEKUNDU UKO SAWA KABISA NA SIO YEYE TUU WOTE KWENYE CHAMA CHA MAGaMBA NDIO UTARATIBU WAO
 
Ila katika hali ya kawaida, inawezekana kweli kwa mbunge au mfanyakazi yeyote wa serikali au wa makampuni binafsi kutoka nje ya kituo chake cha kazi for official duties bila ya kulipwa posho??? Kuwa muwazi weka siasa kando

ACHA KUTUMIA MAKALIO KUANALYSE WEWE TUMIA CEREBERUM NA MeDULA
 
Yes, wabunge wanawalipa wenyewe madereva wao

Ndiyo maana madereva wa wabunge walitaka kugoma siku moja kwa hawalipwi mishahara. Kwanini madereva hao hawajaandaliwa mfumo wao mzuri wa ajira. Inakuwaje dereva anakuwa kama mtumishi wa nyumbani?
 
Ila katika hali ya kawaida, inawezekana kweli kwa mbunge au mfanyakazi yeyote wa serikali au wa makampuni binafsi kutoka nje ya kituo chake cha kazi for official duties bila ya kulipwa posho??? Kuwa muwazi weka siasa kando
na wewe weka siasa kando

ikiwa mishahara yao ni mikubwa kiasi hicho posho ya nini?
 
Back
Top Bottom