MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Haya ndio maswala ya kuangalia na pengine kuchunguzwa na Takukuru...
Hapo juu hizo hela za matumizi mbali mbali ni milioni 6.9 ambayo pia wanadai ni mshahara wa wahitimu 22 wakijumlishwa. Bado watu wana shangaa kwa nini wana taaluma wote wana kimbilia siasa?