desertfish
Member
- May 25, 2009
- 21
- 1
Helo wanaJF kwanza ninawasalimu, hodi! Ndio naingia kwenye forum, nikaona ni vema nianze na hili lililoko mezani. Kidogo hata mimi ninakubaliana na kukosa imani na huyu mheshimiwa, lakini ukumbuke kuwa si siku nyingi walimweka kitimoto na kujaribu kupunguza hiyo speed and standard. Suala la Richmond kwa jinsi lilivyo tete alipaswa kulipa kipaumbele na hasa ikizingatiwa kuwa tuko kwenye crisis kama hiyo iliyopelekea kashfa hiyo kuibuka