SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Hawa watu mbona wanafiki sana. Hivi wanataka kutuambia ni wabunge ndio wamekuwa wakidai wapewe posho hizo au ni taasisi zenyewe zinaamua kutoa? Kama mbunge kupokea posho hiyo ni kosa (rushwa?), kwa nini serikali kupitia taasisi hizi haziwajibishwi pia kwa kutoa rushwa hiyo? (Tunaambiwa hata takukuru pia imewahi kutoa posho hizo!).
Nadhani takukuru wangeanzia kwenye hizi taasisi (hususani takukuru yenyewe) ili kujua ni kwa nini wanatoa posho hizi huku wakijua fika kwamba wabunge tayari wanapewa posho na bunge.
Nadhani takukuru wangeanzia kwenye hizi taasisi (hususani takukuru yenyewe) ili kujua ni kwa nini wanatoa posho hizi huku wakijua fika kwamba wabunge tayari wanapewa posho na bunge.