Posho, kivuko vyaiweka CCM njia panda

Wanategemea Pinda aingilie utendaji wa Magufuli? Akithubutu kufanya hivyo nina uhakika Magufuli atastaafu na safari hii hawataweza kumsihi kama walivyofanya wakati ule.
Pili hao wabunge wanafahamu nini kuhusu heshima au dharau, vipi kuhusu kauli za huyo Guninita alipomshambulia Sitta mwaka jana na hata alipokuwa speaker, wakati yeye Guninita akitetea mafisadi? Je kwa kutetea kwake hao mafisadi haikuwa dharau kwa wananchi?
Acha waendelee kujicholesha na kujiandalia the great fall, we are watching.

makosa ya Guninita kumshambulia Sitta hayamzuii kutenda haki kwenye jambo la kivuko.
 
Hivi Guninita alisema nini kuhusu posho za wabunge? Naomba mwenye kujuwa hili atihabarishe.
 
Ndipo Yesu akawaambia, Ninyinyote mtachukizwa kwa ajili yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa, Nitampigamchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika. mathayo.26:31
 
Nampenda Magufuli..Sasa Sh 100 inaumiza watu wa kila aina kiasi Hiki? Mbona wasiandamane kwa hao wabunge kupata nyongeza ya sh 130000 toka 70000 kwa siku??????? people think twice before you decide.

Mambo mengine mnayatafutia Sababu..MAGUFULI YOU ARE A MAN...SOMETIMES USITIKISIKE KAMA BOSS WAKO...I LIKE THAT..NA WATANZANIA TUSIJIFANYE MDEBWEDO SANA..
 
Wabunge wa dar wanatapata tu,amewajibu kwa mifano tena thabiti,na wangine wanatumiwa cos nyuma yao kuna watu wanautaka urais so wanafanya big issue,namsuport makufuri asilmia mia,bravo magufuri and go on we are with u
 
Hali hiyo tete inakifanya chama hicho tawala kujikuta kikiwa na kauli zinazojichanganya kuhusu msuguano unaoendelea kama ni kukua kwa demokrasia au ni utovu wa nidhamu wa kutozingatia kupingana kupitia vikao vya chama.

Mbona hii stairi yao wananchi tuomeizoea na ndio maana sasa hivi hawaaminiki hata kidogo

Kwa sababu hiyo wakamshauri; "Tunamtaka awe kiongozi aliye tayari kushirikiana na kushauriana na viongozi na wananchi wakati wa kutekeleza Ilani ya CCM, jambo ambalo haliwezi kuathiri katiba na kanuni za taratibu za majukumu ya wizara na nchi kwa ujumla."

Hivi huyu Guninita anataka kutufanya sisi ni matahira wa akili, hivi ni lini serikali ya ccm imewahi kushauriana na wananchi kwa jambo lolote au mi ndo nimepoteaz kumbukumbu

 
Wabunge wa Dar wana mapepo. Badala waandamane kuhusu EPA, Kagoda, Meremeta, Deep Green Finance na wizi mkubwa.Badala ya kupigania ili wajivue magamba (exclude Mnyika) na wawaondoe wale waliofilisi nchi mpaka maisha yakapanda, Badala wamshauri mzee wa kaya jinsi ya kupunguza mfumuko wa bei unaofanya mpaka bei ya pili pili pale sokoni kariakoo ipande. Wanang'ang'ania Magufuli aombe radhi.
Ndugai tusimlaumu maana anathibitisha kwamba CCM hakuna msafi hata mmoja kwa hiyo hawana haja ya kunyoosheana vidole. CCM hoyee.
 
makosa ya Guninita kumshambulia Sitta hayamzuii kutenda haki kwenye jambo la kivuko.

Hata ukijaribu kum quote Kilaini...tufanye upo sahihi, Hebu jaribu kunijibu hili, je ni haki kwa abiria kuendelea kulipa 100 kwa kivuko kile?
 
Hata ukijaribu kum quote Kilaini...tufanye upo sahihi, Hebu jaribu kunijibu hili, je ni haki kwa abiria kuendelea kulipa 100 kwa kivuko kile?

Naomba nikujibu mimi Cons.

Kuna masuala mawili.
(I) Kwa habari ya uendeshaji wa kivuko, kuzalisha kipato na kuhifadhi ajira ya watumishi pale magogoni, siyo halali kulipa tsh. 200 wakati vivuko vingine tayari wamevuka hapo siku nyingi. Mifano mizuri ni mwanza, ambapo kivuko cha serikali ni 400/=. Wote ni watanzania, lazima tuoneshe usawa wetu.

(ii) Kwa habari ya utoaji huduma, serikali inayojiweza na ambayo ipo kuwahudumia wananchi, siyo halali. Kwani kivuko ni mbdala wa daraja na madaraja ni huduma za jamii, watu hawalipii chochote. Isitoshe kigamboni walishaweka plan ya kujenga daraja, lakini kwa kuwa ndo wanakofanyia fraud kama ilivyo serikali ya ccm, wamegoma kujenga daraja kitu kinachowezekana kwa mwaka mmoja tu. Ikumbukwe kuna nchi za wenzetu, wamejenga hadi kilometa saba za daraja safi baharini.
 
Back
Top Bottom