MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Mhh...nadhani dhamira za kifisadi ni kubwa kuliko tunavyofikiri.Hapa ndipo utakapotofautisha kati ya wazalendo wa kweli wenye nia ya mabadiliko na wabinafsi.Zitto endelea kuonyesha njia,usitarajie kuungwa mkono na wengi.Siku zote ukweli husimama hata kama una sapoti ya mtu mmoja.Kasi ya kutaka mabadiliko inabidi iendane na vitendo dhahiri kama hivi.Bado tunahitaji kuongeza spidi,tuonyeshe dhamira yetu ya dhati katika yale tunayoyaamini
Well said !