gizalucky
Member
- Aug 5, 2011
- 44
- 10
Swala/Swali ni hili; Hivi posho( allowances) huwa zinakatwa kodi??
Je huwa zinajumuishwa kwenye mshahara then kupata gross salary ambayo inakatwa kodi...kwa maana hiyo na posho zimekatwa kodi???
Imenitokea kwenye kazi yangu ninayofanya sasa natambua/ nahisi kuna usanii umefanyika hapa.
Naombeni michango yenu nijue kama si sahihi kufanya hivyo ili niweze kujua cha kufanya..kama kufuatilia haki yangu kama imechezewa...
Kwani sheria za nchi za kazi zinasemaje?? Usikute hawa waajiri wetu wanatumia udhaifu wetu wa kutojua sheria kutunyonya...kwa faida yao/ au kwa vyovyote...Information is Power !!!!
Please wadau nawasilisha naomba msaada/ ushauri/ maoni yenu..ikiwezekana hata vifungu vya sheria za kazi....
Naomba kuwasilisha....Pamoja Jamii Forum Forever
Je huwa zinajumuishwa kwenye mshahara then kupata gross salary ambayo inakatwa kodi...kwa maana hiyo na posho zimekatwa kodi???
Imenitokea kwenye kazi yangu ninayofanya sasa natambua/ nahisi kuna usanii umefanyika hapa.
Naombeni michango yenu nijue kama si sahihi kufanya hivyo ili niweze kujua cha kufanya..kama kufuatilia haki yangu kama imechezewa...
Kwani sheria za nchi za kazi zinasemaje?? Usikute hawa waajiri wetu wanatumia udhaifu wetu wa kutojua sheria kutunyonya...kwa faida yao/ au kwa vyovyote...Information is Power !!!!
Please wadau nawasilisha naomba msaada/ ushauri/ maoni yenu..ikiwezekana hata vifungu vya sheria za kazi....
Naomba kuwasilisha....Pamoja Jamii Forum Forever