Mkuu acha kuvunja watu mbavu bwana. Labda umesikiliza vibaya. Kuwa amewaagiza wakuu wa wilaya za Dar es salaam kuondoa msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula.... nakubaliana na wewe ni mzaha.... tena mzaha wa mwaka 2012. Hivi vyeo vya kupewa kama zawadi vina matatizo makubwa.Nimemsikia akiwaagiza wakuu wa wilaya kuondoa tatizo la msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula. Huu ni mzaha mwinginee
tell me ur friend, i will tell u who urHawa ndo wanaomsaidia Jk boooom tupu.
Nimemsikia akiwaagiza wakuu wa wilaya kuondoa tatizo la msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula. Huu ni mzaha mwinginee
Agizo la mkuu wa mkoa ni agizo la serikali! Heshimu waungwana!
huyo mzee ni mgonjwa katoka nje juzi kutibiwa...
Nimemsikia akiwaagiza wakuu wa wilaya kuondoa tatizo la msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula. Huu ni mzaha mwinginee
Umenivunja mbavu kwa utani huu. Mtafute mtu mmoja anayeitwa Masaburi, nadhani anaweza kusaidia kutueleza huyu mkuu wa mkoa wa dar anafikilia kwa kutumia kiungo gani cha mwili wake.
Apelekwe Apollo kwa matibabu
Raisi Kikwete alishaahidi fly over hazijaonekana mpaka leo,huyo mkuu Wa mkoa/Mkuu Wa wilaya ni kina nani?