Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
habari za jioni wana jamii!? nipo kwenye costa natoka Bagamoyo kutembelea rafiki zangu.
jambo ambalo limenituma hadi naanzisha hii thread ni kwamba kuna mtu amekaa siti ya nyuma yangu ana simu lake la mchina.
sasa huyo mtu ni anaangalia pornograh tena kwa sauti ya juu kabisa!
jambo ambalo kidogo nimeliona ni absurd ni kwamba nimeingia nimekuta bado siti mbili yani gari limejaa na ni watu wa rika tofauti hadi kina baba na mama.
ni kutokana na hali niliyoikuta ya watu kutochukua hatua imebidi nami nifunge mdomo coz am afraid may be watu walireact halafu jamaa akariakt plus plus ndo maana ameendelea na dominance yake.
jamani hata nakosa maneno ya kuendelea...
jambo ambalo limenituma hadi naanzisha hii thread ni kwamba kuna mtu amekaa siti ya nyuma yangu ana simu lake la mchina.
sasa huyo mtu ni anaangalia pornograh tena kwa sauti ya juu kabisa!
jambo ambalo kidogo nimeliona ni absurd ni kwamba nimeingia nimekuta bado siti mbili yani gari limejaa na ni watu wa rika tofauti hadi kina baba na mama.
ni kutokana na hali niliyoikuta ya watu kutochukua hatua imebidi nami nifunge mdomo coz am afraid may be watu walireact halafu jamaa akariakt plus plus ndo maana ameendelea na dominance yake.
jamani hata nakosa maneno ya kuendelea...