Pork! Kitimoto! Pork!

Mkuu....vipi ya pale kili time? mbona nilisikia kili town inafunika mbaya
Mentor,

Ukija Arusha nenda Apache wanatengeza mdudu wa ukweli nakwambia unaweza kuhamia Arusha jamaa wako juu sana.Mwenzako kila jumapili mida ya mchana utanikuta natwanga mdudu na Gordons za kufa mtu.Apache iko mitaa ya Ricks Club unaingia ndani kidogo unapinda mkono wa kushoto unakwenda umbali wa mita 100 unakata kulia mjomba nina hakika hujawahi tafuna mbuzi katoliki wa ukweli.

Duh nasikitika machalii wa Arusha wanaweza kuvamia anga zangu mdudu akapandishwa bei.Unajua tena law of supply and demand inaweza kuapply.
 
Wakuu weekend imeanza msisahau wajibu hasa kipindi hiki cha mwenzi mtukufu nyongeza si kitu cha kuuliza.
 
Kitu chair fire inayoitwa drunk style,inapigwa mixa na konyagi yaani unakula huku unapa stimu,achana na drunk style ukienda na kwenye yale mambo yetu weeeee acha tu.
 
Back
Top Bottom