Pork! Kitimoto! Pork!

Mentor

JF-Expert Member
Oct 14, 2008
20,328
23,879
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
 
Nenda pande za Kilimanjaro Pub-Ubungo Riverside au Kimara SUCA,bila kusahau B Bar Sinza kwa Remmy.
 
Mentor,

Ukija Arusha nenda Apache wanatengeza mdudu wa ukweli nakwambia unaweza kuhamia Arusha jamaa wako juu sana.Mwenzako kila jumapili mida ya mchana utanikuta natwanga mdudu na Gordons za kufa mtu.Apache iko mitaa ya Ricks Club unaingia ndani kidogo unapinda mkono wa kushoto unakwenda umbali wa mita 100 unakata kulia mjomba nina hakika hujawahi tafuna mbuzi katoliki wa ukweli.

Duh nasikitika machalii wa Arusha wanaweza kuvamia anga zangu mdudu akapandishwa bei.Unajua tena law of supply and demand inaweza kuapply.

Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
 
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.

Kapige ya kuchoma pale Mburahati

Au nenda pale kona-baruti kwa Kinibu
 
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.

IMG0010A.jpg

Hii kitu utaipata Iringa Kwa Mama Spencer.

Karibu na Ofisi za Siasa ni kilimo. Karibu sana Mkuu.

The best in Iringa. Kule kwenye mabanda ya CCM ni wachafu Sana.

For more info. ni PM.
 
Duh..ok ok..
hizo sides ni mbali sana na mimi nataka kwenda Ijumaa nkitoka kazini..
Makazi yangu ni Mbagala zaidi..
 
Dah! Tulikua na mpango wa kukukaribisha over the weekend na shemejio.... naona nimeahirisha sasa...
aah dada...ukifanya ivo ninaweza kufikiria kubadili mipango..si unajua u will take the higher priority!!!
 
Mbagala kitu gani bana?
Kama vipi ibuka kwa AshaDii au nenda mburahati kwa mashingia pale.
Kama kati nakushauri B Bar sinza.
 
Wakuu, mimi natafuta kitimoto pori. Anayejua inakopatikana anijulishe tafadhali. Napenda sana ile kitu
 
niongeleshe vizuri........
Unataka kuuza nyara ya taifa?Asee yule mdudu hana mafuta, nyama tamu kama balaa.Mkuu njoo ruvu hapa, kusafirisha kuja dar noma, jamaa wakikukamata wanaichukua na inabidi kuhonga.
 
Duh.Kwa mam Spencer Ndio wapi, coz hiyo picha imenipa Njaa Ghafla.
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.
 
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.

Wasiliana na Mzee wa Maono, Muhadhiri, Malaria Sugu, Bi Zakia hao lazima watakusadia alipo huyo Mnyama wa taifa
 
Unataka kuuza nyara ya taifa?Asee yule mdudu hana mafuta, nyama tamu kama balaa.Mkuu njoo ruvu hapa, kusafirisha kuja dar noma, jamaa wakikukamata wanaichukua na inabidi kuhonga.

hivi hata yule ni nyara?.....mbona mtamu vile.......basi MzeePunch itabidi uje Yaeda.....hakuna ujanja
 
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.

hapa tunahitaji muongozo wa Freetown.....ndio alihudhuria hilo eneo bold hapo juu siku za karibuni......atueleze kama ubora ni ule ule au lah
 
Bigirita,

Onyonya ukununze cha mtoto mambo yote Apache mdudu anachanganywa na mboga mboga,ndizi na kachumbari ya kufa mtu.Walahi nakwambia ukimaliza mlo na double mbili za gordons lazima ucheue na kijasho chembamba lazima kikutoke bila kujali hali ya hewa ni baridi au joto.

Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.
 
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.

Usinifanye nitoe machozi Bigi....Onyonya was the place! too bad sipo moshi tena...
 
Back
Top Bottom