Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
aah dada...ukifanya ivo ninaweza kufikiria kubadili mipango..si unajua u will take the higher priority!!!
View attachment 34506
Hii kitu utaipata Iringa Kwa Mama Spencer.
Karibu na Ofisi za Siasa ni kilimo. Karibu sana Mkuu.
The best in Iringa. Kule kwenye mabanda ya CCM ni wachafu Sana.
For more info. ni PM.
Wakuu, mimi natafuta kitimoto pori. Anayejua inakopatikana anijulishe tafadhali. Napenda sana ile kitu
Unataka kuuza nyara ya taifa?Asee yule mdudu hana mafuta, nyama tamu kama balaa.Mkuu njoo ruvu hapa, kusafirisha kuja dar noma, jamaa wakikukamata wanaichukua na inabidi kuhonga.niongeleshe vizuri........
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.Duh.Kwa mam Spencer Ndio wapi, coz hiyo picha imenipa Njaa Ghafla.
Wadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
Unataka kuuza nyara ya taifa?Asee yule mdudu hana mafuta, nyama tamu kama balaa.Mkuu njoo ruvu hapa, kusafirisha kuja dar noma, jamaa wakikukamata wanaichukua na inabidi kuhonga.
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.
Mkuu iringa hiyo kwa mama siyovelwa.Tuache utani kitu cha kuchoma enzi hizo pale onyonya ukunonze pale Kiboriloni!Walahi hakuna kama hiyo.