Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kuna tetesi kuwa yule Mdudu wa Kipemba ametua kwa mara nyengine katika mitaa ya Bongo ,mwandishi wetu aliekuwa akipita mitaa iliyoathiriwa na kiumbe huyo wa ajabu alikutana na watu tofauti ambao walikuwa na maelezo yanayosababisha athari za mdudu huyo aliyewahi kukatiza mitaa ya bongo kati ya mwaka 2005 na kutesa.
John Kilomwe wa mtaa wa Keko Magurumbasi alisema mwenzao mmoja alieathiriwa na mdudu huyo ilibidi atoe yaliyomkuta baada ya kurudiwa mara tatu na kufanyiwa kitendo cha aibu ,akizidi kusema sababu zilizomfanya ni kukataa kutoa aibu hiyo kwa marafiki zake na kuwaeleza majirani kitendo ambacho alieleza ni lazima baada ya kuhujumiwa upite kwenye mitaa ukiwaeleza watu jambo ambalo alisema hakuweza kulifanya kwa siku za mwanzo na alivyoona dudu hilo halichoki akaona ni bora awaeleze watu na hapo halikumrudia tena.
Na wakazi wa mtaa wa morogoro road wameanza kulala nje huku wakikoka moto ,dawa ambayo walielezwa kuwa inalifanya dudu hilo kuwa na mazingira magumu ya kuvamia mawindo yake ,hadi sasa hakujaelezwa ni kwa sababu gani dudu hilo limehamia katika mitaa ya bongo.
John Kilomwe wa mtaa wa Keko Magurumbasi alisema mwenzao mmoja alieathiriwa na mdudu huyo ilibidi atoe yaliyomkuta baada ya kurudiwa mara tatu na kufanyiwa kitendo cha aibu ,akizidi kusema sababu zilizomfanya ni kukataa kutoa aibu hiyo kwa marafiki zake na kuwaeleza majirani kitendo ambacho alieleza ni lazima baada ya kuhujumiwa upite kwenye mitaa ukiwaeleza watu jambo ambalo alisema hakuweza kulifanya kwa siku za mwanzo na alivyoona dudu hilo halichoki akaona ni bora awaeleze watu na hapo halikumrudia tena.
Na wakazi wa mtaa wa morogoro road wameanza kulala nje huku wakikoka moto ,dawa ambayo walielezwa kuwa inalifanya dudu hilo kuwa na mazingira magumu ya kuvamia mawindo yake ,hadi sasa hakujaelezwa ni kwa sababu gani dudu hilo limehamia katika mitaa ya bongo.