Poor MUHAS!! Lots of shame......Prof Pallangyo.....!!

kupasua mguu badala ya kichwa siyo medical error ni utindio wa ubongo nchi zingine hao madoctor wangenyea debe kwa criminal negligency to be fair tatizo ni system nzima na utamaduni wa watanzania hakuna accountability
 
kupasua mguu badala ya kichwa siyo medical error ni utindio wa ubongo nchi zingine hao madoctor wangenyea debe kwa criminal negligency to be fair tatizo ni system nzima na utamaduni wa watanzania hakuna accountability

Hujui ulichoandika wewe Kilaza, si kitu kipya hicho hebu soma hapa

Medical Error Statistics
 
I believe this is part of his aides to patch JK's torn reputation.
The likes of Salva may well be behind all this drama.

The reason I consider Nyerere to be the only true leader we have ever had is the fact that he deserved all these decorations yet he chose to be called Mwalimu, what an exemplary father.

I like this one, unfotunately wanajenga nyumba kwa tofali la barafu... jua likiwaka tu... balaah
 
Rev? Masanilo,
Hii isikupe tabu pamoja na wanajmvi wote.
Kama mnakumbuka enzi za Mrema kubebwa, mwalimu alisema " waacheni wanaotaka kubebwa kama maiti wabebwe msiwasumbue". Tangu hapo Mrema aliacha kubebwa, sasa huyu JK ameshafika kwenye ajira ya mwisho katika nchi hawezi kuajiriwa tena popote hivyo anachofanya sasa ni kukusanya CV zitakazosomwa kwenye risala ya mazishi yake:marehemu alikuwa luteni kanali, kiongozi wa UVCCM, PHD ya a,b,c,etc. sifa ambazo hazina maana tena kwake yeye wala taifa.
 
Teh teh teh teh kweli hakuna tofauti yoyote wote ni wasanii tu. Umesahau ile operation ya kichwa badala ya mguu?
Kwa hili naomba nikupinge mkuu

Ile operesheni haiwezi kuwa kigezo cha quality na dedication ya kazi, naomba sana ujue kwamba mgonjwa huandaliwa na zaidi ya daktari anayefanya upasuaji na kwamba mtaalamu yeye huja na kukuta vitu vimeandaliwa na kaarifa ya kazi ipo.

Napata tabu sana na hizi sweeping statement...

KAMA UNADHANI UDAKTARI NI RAHISI, HEBU TAFUTA MEKANIKA AU INJINIA AFUNGUE INJINI AMBAYO INA-RUN AONE,

kazi ya daktari ni ngumu, hasimamishi moyo wa mtu atibundio auwashe kama injinia, hazimi kompyuta atengeneze ndio awashe, hasomi vijarida na vitabu ili aandike vyakwake, hakusanyi ushahidi tukoka kwa vimelea vya wadudu ndio avihukumu na dawa husika, yeye hufanya yote wakati vyote vinaendelea

aliyetudhalilisha ni mfumo mbaya wa serikali ya chama tawala na sasa tuko bize tunafanya ngwini... ukweli unaouma toka kwa kithuku lakini that doesnt warrant dharau from anyone!!!:doh:

Bahati mbaya na mie karibia nikasirike kama colleague wangu mchapakazi:A S-omg:
 
Hahahaah wengine tulingundua mapema sana hilo! Baada ya Intern tukabadili kazi. Nadhani nimesahau sehemu kubwa ya udaktari

hahaahah..siye wengine tulijifanya kukomaa na wito,baadaye wajashtuka umebaki na title tu mtaani huku 'wajanja' watafuna fwedha..
 
Hii ndiyo spirit broda

Yaani unakubali kwamba ile degree ya heshima ni famba, haijaleta tija kwa MUHAS wa products zake... Mwaka 2007 niliamua kusoma CFA, professor mmoja pale MUHAS akaua sana ati tunapoteza fani nikamwambia aliyepotea ni yule asiyejua yuko wapi, mimi najua niko wapi... na hapa Tanzania nilipo sekta ya afya ni weak na kiongozi wetu mkuu naye kakubali hilo

Yule professor akasema haya bana...akaenda zake, hadi leo tunawasiliana akiomba consultancies hata kama ni za level ya chini alimradi aweke cha ziada tumboni

mkuu acid wewe ndiye MTM/DE NOVO?kumbe nawe ni mzee wa kitengo!
Siye vijana wa Mtabaji.Tuliburuzana nae sana kwenye issue ya faculty special requirements!
 
mkuu acid wewe ndiye MTM/DE NOVO?kumbe nawe ni mzee wa kitengo!
Siye vijana wa Mtabaji.Tuliburuzana nae sana kwenye issue ya faculty special requirements!
Hahaaaaaaaaaaaaa

Nilikuwepo aisee

Umesahau watu wakapata ile pesa ilikua thursday moja saa kumi jioni?
 
huna akili hata kidogo umefanya jambo jema kwenda kwenye ungwini ungeua watu

wewe ndiye unachemka,wengine tunakuangalia tu na fikra zako mfu,kudhani kuwa ni madaktari wa tanzania tu ndiyo wafanya makosa.Fanya utafiti ujue kwanini madaktari wa ulaya na marekani walipa pesa nyingi sana kwa ajili ya malpractice insurance..
 
Kithuku umejifanya kuuwa madaktari hapo juu kuwa wanaingialia kazi za kingwini na kuwa hawana lolote kama zamani. Uliumizwa nini? Let me declare conflict of interest. Mimi ni daktari nafanya kazi ya Kingwini na ninamake milioni 15 kwa mwezi and going up less than ten years tangu nigraduate. Hili ni jasho langu sijala rushwa ya mtu hata shilingi moja and I am proud of what I do.

Wewe kama ngwini unaweza kumtibu hata mgonjwa wa mafua? Hapana huwezi! Mimi naweza kutibu anytime na pia naweza kufanya Ungwini. Wewe unaonaje hiyo multitask?

Acha roho za korosho. Hao madaktari wanaowahudumia Watanzania wanafanya hivyo kwa moyo wa huruma serikali yenu inachojua ni kunua maV8 ilikukomoa watanganyika zaidi na akipata tu mafua anakimbilia Ulaya kwa kodi zenu (hii ni kwa sababu mimi silipi kodi).

Kitu manachotakiwa kujua ni kuwa soko limebadilika. Siku hizi mwajiri sio serikali peke yake, watu ambao ni daring and wenye AKILI kama madaktari wanaweza kufanya chochote wanachotaka. Nasema hivyo kwa vile wakati tunaingia Med School miaka hiyo top cream ya PCB Bongo ilikuwa inatua Muhimbili. Hawa ni watu ambao wakiamua wanafanya lolote including Ungwini na mzagazaga yote. Sasa wakiamua usiwatoe uchawi Mchawi ni Mkwere na serikali yake.

Kuna mfukunyuku mwingine kasema madaktari vilaza wamepasua kichwa badala ya mguu. Medical errors zipo kila mahali duniani. Na daktari mmoja kufanya kosa haina maana madaktari wote ndo wabebe hizo lawama. Mbona sijaona mnatukana maengineer maana majengo yamebomoka au barabara inajengwa huku inabanduka kabla ya mwezi kwisha? Acheni uzandiki.

Degree aliyopewa Mkwere ni yake na Palangyo, wamekubaliana wenyewe mtu na bosi wake sisi haituhusu na kama unataka maoni yangu ningemnyang'anya. By teh way hiyo ni degree ya MUHAS na mimi ni graduate wa MUCHS part ya UD kwa hiyo wala sio chuo changu. Sina vinasaba na PhD feki ya luteni kanali.

Natumaini Kithuku na wenzio mmeelewa. Tutapambana huko huko kwenye faranga maana uwezo, sababu na nia tunayo. Haimake sense kujifanya napasua watu halafu unalipwa hela haitoshi hata mafuta ya gari kwa wiki mbili. Siku mukiona mnaweza lipa tutarudi tu maana ujuzi tunao. Ni mitizamo tu no hard feeling broda.
Tumekuelewa. Samahani ngwini
 
Hehehe unalipwa mil 15 kwa mwezi,na kodi hulipi. Duh! Hehehe. I'll have to contact you for career advice!
 
When old Mate meets! hahahahahahaah
Yeah... I remember i paid all teh debts za accomodation, bought a few faculty requirements and some really special faculty requirements

sijui hata kama siku hizi hizo allowances zipo au la coz i left MUCHS over 10 years ago... when Pallangyo was not the "man"!!
 
@ kithuku...! Hiyo ni kama kufananisha usiku na giza mkuu! ma MD wote tanzania lazima upite internship ili utambulike we ni dactari..! na hakuna mwaka mgumu kama huo....! Lazima utibu wagonjwa wa kila aina na kukaa sometimes up to 48 hrs haujafunga jicho sasa wewe unatufananisha na mkere...? pls thats sooo unfair just say sorry hao tulioshika wakati wa internship walitosha...!:eek:
 
Sina hard feelings zozote.Nimeamua tu kumweleza Kithuku kuwa dharau ni mbaya.
Asante kwa wachangiaji wote.
Kutofautiana ni sehemu ya maisha.
Nimefurahi kukutana na koligi, Kithuku kubali yaishe. Wewe ndo unafanya nini??
 
Back
Top Bottom