Seriously...there are people that deserves that kind of recognition but not him!!Wouldn't be surprised if it turned out to be part of a planning to help him get his credibility back...if it's even possible at this point!He is a joke for receiving it knowing he doesn't deserve it...and the people who gave it to him for thinking he did!
Huyo Palangyo naye isije ikawa naye ni kati ya wale mprofessa wa muhimbili wenye masters tu (wasiyokuwa na PhD)
Zamani sisi tukisoma Mlimani watu wa Muhimbili walituita 'ngwini', jina la utani na dharau likimaanisha watu wanaosoma masomo waliyoyaita 'rahisirahisi' ya novels za Penguin (Actually Penguin walikuwa publishers maarufu wa novel maarufu sana kwa muda mrefu). Wao wakajiona wasomi wa kweli wa masomo 'magumu'. Siku hizi hali imebadilika sana, madaktari wenye degrees zao za ubingwa wanapanga foleni kuomba hizihizi kazi zetu za 'ungwini'. Wengine wamesoma hadi MA za fani tofauti kabisa ili mradi tu wakimbie udaktari wao. Wanaganga njaa! Kwa mtaji huu sioni tofauti kati ya 'udaktari' wa hawa waliokimbilia kwetu kwenye 'ungwini' kuganga njaa, na huo wa JK aliopewa MUHAS maana kati yao hakuna anayemtibu mgonjwa, wote wasanii tu!
Did a lot?? Like what?? Singing alone does not mean doing a lot................Some of us it's our first time to hearing this name!!!
Pole sana Masanilo, si kawaida yako kuandika message nedefu kama hiyo, hapa kweli umeudhika!
Wimbo ni uleule...njaa na wanatafuta sehemu ya kutokea, wamejua udhaifu wa mkwere basi wanazigawa....usije ukashangaa na hata vyuo visivyo na hadhi ya PhD wakaanzisha degree ya heshima...kama veta unaweza ukashangaa wanampa mkwere certificate ya heshima ya mapishi..an life goes on
I am excelling there, probably wanaweza wakakosea kunipa -U-VC unazipokonya degree za heshima zote hizi kwa ground hazikuwa qualified enough! hatuna wasomi jamani.....hao akina Shivji wamekalia ufisadi wa kidini tu ..kabakia issue za wapalestina...na kudanganya watu ndio waliotakiwa waseme no, he is not qualified.
Huyo Palangyo naye isije ikawa naye ni kati ya wale mprofessa wa muhimbili wenye masters tu (wasiyokuwa na PhD)
Mkuu umenikumbusha mbali sana, Ntogwi hajawa prof, lakini nasikia akina Bakari, Lutale, Maro, na Janabi wa internal medicine (Daktari wa Jakaya) wamekuwa maprof.,Inawezekana.Hivi yule 'mzee wa countercurrent multiplier aka Ntogwi alishakuwa Prof?
hivi kuwa prof ni lazima uwe na PhD!
Huyu jamaa atabaki kuwa Luteni Kanali tu mpaka kufa maana hiyo ndo title yake, hizi doctorates uchwara ni mkakati maalum wa kujaribu kuitafuta ile tuzo ya Mo Ibrahim, aonekane ni mtu aliyefanya mambo makubwa sana kiasi cha kupata mvua za PhD.Anaona wale wapambe wake anaowapa uwaziri kwa kuwa na vyeti feki wanaitwa "DR' sasa yeye kwavile hana njia ya kufoji vyeti ndio akabuni hii ya kupata kwa "Heshima" ili asiachwe nyuma kwenye hizi mbio za odokta!!