Mbona naona sahani chini ya mkono wa huyo jamaa bhanaa.Why men population will remain low forever......
This guy is taking soda while buying gal friend chapati 3, sandwich ya nyama na samaki wa kipande
View attachment 66023
kwani si itafika na wewe zamu yako....nawewe mnyonye!!!
waliongilia kwa sound za kujidai kuwa wanazo mwisho wao unakuwaga hivo,we unadhani ukiwa mkweli tangu
mwanzo hayo yangekwepo?
Kuna kijana ambaye hawajawahi kumkuta hayo? Fikiria scenario hii: Umemdondokea Kaunga na unataka kum-impress. Unamtoa out restaurant classic - wewe mwenyewe hujawahi kwenda na hivyo hujui bei za humo na una kama elfu hamsini ukijua zitatosha. Only baada ya kuingia unagundua zitatosha kwa Kaunga kula na wewe kunywa soda, so what do you do ili usiwe embarrassed mbele ya binti unaetaka kum-impress?
naniliu ndio nini?
Kwa nini unatoa mfano wa Kaunga ??
Mkuu mi nahangaika na viwango vyangu tu,na ninapoenda kutongoza mwonekano wangu tu utamwonyesha girl mi mtuKuna kijana ambaye hawajawahi kumkuta hayo? Fikiria scenario hii: Umemdondokea Kaunga na unataka kum-impress. Unamtoa out restaurant classic - wewe mwenyewe hujawahi kwenda na hivyo hujui bei za humo na una kama elfu hamsini ukijua zitatosha. Only baada ya kuingia unagundua zitatosha kwa Kaunga kula na wewe kunywa soda, so what do you do ili usiwe embarrassed mbele ya binti unaetaka kum-impress?
kwani si itafika na wewe zamu yako....nawewe mnyonye!!!
jamaa anafukuzia penzi, na demu alivyo mshenzi akachukua mfuko wa zawadi akarudi ndani wala hakupiga nae stori. jamaa tulimtania sana kwa zaidi ya mwezi