Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF!
Kwakweli huu mchezo kwa TZ unafanywa visivyo na mwishowe umekua ni kituo cha vijana kukaa siku nzima bila kujishughulisha!
Kwa wale waliobahatika kutembea hapa TZ watakubaliana nami,kua meza za mchezo huu zimetapakaa kila kona ya nchi hii;ukisafiri kwa njia ya barabara ndo utashuhudia hiki. Barabarani kote iwe kutoka Dar kwenda Morogoro-Iringa-Mbeya-Rukwa au Dar kwenda Morogoro-Dodoma-Manyoni-Singida-Igunga-Nzega-Shinyanga-Misungwi-Mwanza. Kutoka Dar kwenda Arusha kupitia Chalinze-Lugoba-Segera-Korogwe-Mombo-Hedaru-Mwanga-Same-Njia Panda/Himo-Moshi-Bomang'ombe-USA River-Arusha. Humu kote njiani kumetapakaa pool tables na vijana wenye nguvu na akili wakicheza mchezo huo kutwa nzima kuanzia asubuhi mpaka machweo!
Mchezo huu ni mzuri lakini kwa hapa TZ nafikiri hautumiki ipaswavyo. Kwa wenzetu naona mchezo unapatikana kwny pubs sana,lakini si mtaani tena nje nje kama hapa kwetu.
Hapa serikali ya mkwere haikosi lawama tena katika mitazamo miwili. Moja kwa serikali kushindwa kuweka mfumo wa namna ya kugovern na kuadminister mchezo huu. Pili kwa serikali kushindwa kuweka misingi ya kuwezesha vijana wafanye kazi(inaonekana wengi wa vijana hao wamekata tamaa ya maisha,hawaoni nyuma wala mbele) kwa kujituma na bidii,ivyo wanaona vijiwe vya pool tables kama stress releasers!
Nini kifanyike wadau? Maana mara nyingi nikipitaga kwny vijiwe vya pool huwa nawashauri vijana wakajishughulishe kwani kwa kukaa kwny vijiwe ivyo wanakua wavivu. Lakini mara zote nao husema kua wakajishughulishe na nini?!
Kwakweli huu mchezo kwa TZ unafanywa visivyo na mwishowe umekua ni kituo cha vijana kukaa siku nzima bila kujishughulisha!
Kwa wale waliobahatika kutembea hapa TZ watakubaliana nami,kua meza za mchezo huu zimetapakaa kila kona ya nchi hii;ukisafiri kwa njia ya barabara ndo utashuhudia hiki. Barabarani kote iwe kutoka Dar kwenda Morogoro-Iringa-Mbeya-Rukwa au Dar kwenda Morogoro-Dodoma-Manyoni-Singida-Igunga-Nzega-Shinyanga-Misungwi-Mwanza. Kutoka Dar kwenda Arusha kupitia Chalinze-Lugoba-Segera-Korogwe-Mombo-Hedaru-Mwanga-Same-Njia Panda/Himo-Moshi-Bomang'ombe-USA River-Arusha. Humu kote njiani kumetapakaa pool tables na vijana wenye nguvu na akili wakicheza mchezo huo kutwa nzima kuanzia asubuhi mpaka machweo!
Mchezo huu ni mzuri lakini kwa hapa TZ nafikiri hautumiki ipaswavyo. Kwa wenzetu naona mchezo unapatikana kwny pubs sana,lakini si mtaani tena nje nje kama hapa kwetu.
Hapa serikali ya mkwere haikosi lawama tena katika mitazamo miwili. Moja kwa serikali kushindwa kuweka mfumo wa namna ya kugovern na kuadminister mchezo huu. Pili kwa serikali kushindwa kuweka misingi ya kuwezesha vijana wafanye kazi(inaonekana wengi wa vijana hao wamekata tamaa ya maisha,hawaoni nyuma wala mbele) kwa kujituma na bidii,ivyo wanaona vijiwe vya pool tables kama stress releasers!
Nini kifanyike wadau? Maana mara nyingi nikipitaga kwny vijiwe vya pool huwa nawashauri vijana wakajishughulishe kwani kwa kukaa kwny vijiwe ivyo wanakua wavivu. Lakini mara zote nao husema kua wakajishughulishe na nini?!