Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Dah, Leo nimekuwa mabange?
Hujijui au bado hujajitambua..!? umeshameza dawa leo!?
Dah, Leo nimekuwa mabange?
who are you to judge?Mimi binafsi sipendi Siasa na wanaSiasa kwa ujumla. Na si mwanachama wa Chama chochote cha SIASA.
CHADEMA Kama Chama ambacho kinanadi Sera ya Ukombozi na Maendeleo inabidi kuangalia upya jinsi inavyochagua Viongozi wake. Asilimia kubwa sana ya hawa Viongozi wanaochaguliwa kwenye matawi huko Ughaibuni ni wa kutoka kaskazini. Ina maana hamna watu wenye uwezo kutoka mikoa mingine?
Hao Viongozi wanaochaguliwa kuna uwezekano mkubwa Kama CHADEMA ikishika madaraka wakapewa VYEO nyeti Serikalini. Je, WATANZANIA tuko tayari kuongozwa na "Wahuni"!?
Nancy namfahamu vizuri sana. Na wadau wengi wanaomjua huyu "Demu" watanielewa nazungumzia nini hapa. Sidhani Kama ana sifa ya kuwa kiongozi katika jamii...let alone Chama.
Tabia zake ziko wazi,sihitaji kuorozesha hapa kila kitu. Ila kwa watu wanaomfahamu wananielewa.
CHADEMA ilikuwa inanipa matumaini,lakini kwa style au Viongozi mnaochagua huko UGHAIBUNI inavunja Moyo sana.
WATANZANIA TUWENI MAKINI SANA. ISIJE IKAWA TUNARUKA KOJO KWENDA KUKANYAGA KINYE.SI.
kumbe mamako alishafariki ndio maana hauna adabu kwa wamama..ungekuwa na mama au dada usingemkorea adabu huyu dada wa watu.
​safi sana Nancy hata cc wa uk tuko pamoja lengo ni kuwatoa hawa CCM na kuirudisha nchi kwa wenyewe Watanzania na si kwa wachache magamba.
kaka sema tunampongeza na tupo pamoja naye!!View attachment 63560
Kamanda Nancy Asenga achaguliwa kuwa mwenyekiti CHADEMA California. Tunampongeza na tupo nyuma yako. Peopleeeeeeeeeeeeees! Poweeeeeer!
masai gel una mchumba?Kitu cha #Mbowe hicho.achangudoa nae kawa mkiti aisee haya yetu macho.
- Wajameni kiukweli nimetokea tuu kumpenda huyu dada na nilipoiona hii picha!, nimempenda zaidi kutokana na jinsi anavyojichanganya na watu wa aina zote!. Ukimfikiria ni kiongozi wa Chadema, lakini hapa anampokea 1st Lady wa Tanzania kwa heshima zote kwa sababu huyu pia ndiye 1st Lady wa waTanzania wote wakiwemo wana Chadema!.
Hiki chama vipi tena, inakuwaje kila kiongozi wao majina ni yale yale?-Asenga, Mbowe, Lema, mtei, kileo, mushi, munishi, Tarimo.......kwa hiyo akina Lutengano, mwakipesile, chaula, ..mwiko kupata uongozi CDM????Tunakutegemea dada yetu.
Mimi binafsi sipendi Siasa na wanaSiasa kwa ujumla. Na si mwanachama wa Chama chochote cha SIASA.
CHADEMA Kama Chama ambacho kinanadi Sera ya Ukombozi na Maendeleo inabidi kuangalia upya jinsi inavyochagua Viongozi wake. Asilimia kubwa sana ya hawa Viongozi wanaochaguliwa kwenye matawi huko Ughaibuni ni wa kutoka kaskazini. Ina maana hamna watu wenye uwezo kutoka mikoa mingine?
Hao Viongozi wanaochaguliwa kuna uwezekano mkubwa Kama CHADEMA ikishika madaraka wakapewa VYEO nyeti Serikalini. Je, WATANZANIA tuko tayari kuongozwa na "Wahuni"!?
Nancy namfahamu vizuri sana. Na wadau wengi wanaomjua huyu "Demu" watanielewa nazungumzia nini hapa. Sidhani Kama ana sifa ya kuwa kiongozi katika jamii...let alone Chama.
Tabia zake ziko wazi,sihitaji kuorozesha hapa kila kitu. Ila kwa watu wanaomfahamu wananielewa.
CHADEMA ilikuwa inanipa matumaini,lakini kwa style au Viongozi mnaochagua huko UGHAIBUNI inavunja Moyo sana.
WATANZANIA TUWENI MAKINI SANA. ISIJE IKAWA TUNARUKA KOJO KWENDA KUKANYAGA KINYE.SI.
Mkuu Mbongopopo, nani kakusimulia?, na alikusimulia nini?.jirani yako huyu mumekulia wote mikocheni ya nyerere, nimesumuliwa juu ya hii topic ndio nimeona ulichoandika pia mwenyewe.
Acha uAl-shabab wewe. Huyo binti sio MwanaSiasa ni MwanaSIHASA.Sentence yako ya kwanza inakufanya Muongo, kama hupendi siasa unaweza kumfuatilia mwanasiasa!
The Chagga Development Manifesto(chadema)Hiki chama vipi tena, inakuwaje kila kiongozi wao majina ni yale yale?-Asenga, Mbowe, Lema, mtei, kileo, mushi, munishi, Tarimo.......kwa hiyo akina Lutengano, mwakipesile, chaula, ..mwiko kupata uongozi CDM????
....khaaaa ! huyu jamaa yuko pamoja na nani...? lazima atakuwa mchawi si bure...! looh..?Hongera sana kamanda Nancy,
Tuko pamoja.