Mibujebuje anaiachia wazi? (Maadili nil "0") halafu kavaa viatu vya winter Hyatt Kilimanjaro (formerly Kempinski) Dar? (umwanjo-mwanjo wa hali ya juu). Maana hiyo picha hapo nnapajuwa fika.
Sasa mtu kama huyo anakuwa kiongozi hicho chama kinakuwaje?
Anaitwa NANCY ASSENGA mkuu. Inawezekana ni Msukuma wa MOSHI.Nasikia Nancy ni Msukuma ni kweli
Hata mimi ningependa kujiunga nanyi kuwa nyuma yake!!:becky::becky:View attachment 63560Kamanda Nancy Asenga achaguliwa kuwa mwenyekiti Chadema California. Tunampongeza na tupo nyuma yako. Peopleeeeeeeeeeeeees! Poweeeeeer!
Kitu cha nani hicho, maana chadema hawatoi wadhifa hivi hivi.
View attachment 63560Kamanda Nancy Asenga achaguliwa kuwa mwenyekiti Chadema California. Tunampongeza na tupo nyuma yako. Peopleeeeeeeeeeeeees! Poweeeeeer!
Hongera sana kamanda Nancy,
Tuko pamoja.
Mimi binafsi sipendi Siasa na wanaSiasa kwa ujumla. Na si mwanachama wa Chama chochote cha SIASA.
CHADEMA Kama Chama ambacho kinanadi Sera ya Ukombozi na Maendeleo inabidi kuangalia upya jinsi inavyochagua Viongozi wake. Asilimia kubwa sana ya hawa Viongozi wanaochaguliwa kwenye matawi huko Ughaibuni ni wa kutoka kaskazini. Ina maana hamna watu wenye uwezo kutoka mikoa mingine?
Hao Viongozi wanaochaguliwa kuna uwezekano mkubwa Kama CHADEMA ikishika madaraka wakapewa VYEO nyeti Serikalini. Je, WATANZANIA tuko tayari kuongozwa na "Wahuni"!?
Nancy namfahamu vizuri sana. Na wadau wengi wanaomjua huyu "Demu" watanielewa nazungumzia nini hapa. Sidhani Kama ana sifa ya kuwa kiongozi katika jamii...let alone Chama.
Tabia zake ziko wazi,sihitaji kuorozesha hapa kila kitu. Ila kwa watu wanaomfahamu wananielewa.
CHADEMA ilikuwa inanipa matumaini,lakini kwa style au Viongozi mnaochagua huko UGHAIBUNI inavunja Moyo sana.
WATANZANIA TUWENI MAKINI SANA. ISIJE IKAWA TUNARUKA KOJO KWENDA KUKANYAGA KINYE.SI.