Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Nimekuwa nikitembelea blogs za watu wengi lakini hii ya JIACHIE kidogo inanifanya nitumie muda zaidi na kila mara kupitia kwasababu inaleta habari ambazo ni za ukweli ukilinganisha na blogs zingine zinazo elemea upande umoja wa chama kilichoko madarakani nadhani wanaogopa kusema ukweli kuhusu chama.
uNAPOTOA ELIMU YA URAIA NI VIGUMU SANA KU-ESCAPE SCANDAL ZA UFISADI WA RICHMOND,EPA,MEREMETA NK NK
SO,MISIKITI NA MAKANISA WAMEAMUA KUACHA KUTOA HIYO ELIMU YA URAIA KWASABABU INAONEKANA WANAKISEMA VIBAYA CHAMA MAPINDUZI.
HUU NI MTIZAMOA WANGU
uNAPOTOA ELIMU YA URAIA NI VIGUMU SANA KU-ESCAPE SCANDAL ZA UFISADI WA RICHMOND,EPA,MEREMETA NK NK
SO,MISIKITI NA MAKANISA WAMEAMUA KUACHA KUTOA HIYO ELIMU YA URAIA KWASABABU INAONEKANA WANAKISEMA VIBAYA CHAMA MAPINDUZI.
HUU NI MTIZAMOA WANGU