kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Sasa MKAPA atakutambua kua wewe ni damu ya
mwl NYERERE alidhani siasa za majitaka wajinga km.......bado
wanaziendekeza....ARUMERU wamaiba kura lakini hazikutosha sijui
wataweka wapi sura zao maana timu nzima ya mafisadi wa CCM na nyimbo
zao ili watu waje kwenye kampeni hazikuzaaa
matunda....TBC nyie siku zote mlikua
mnaonesha habari za CCM leo vipi mtautangaza huu ushindi wa kishindo?
Badilikeni kwani TBC ni mali ya TAIFA mnazidiwa na STAR TV ambaye
mmiliki wake ni kada wa CCM.......
tuwe fair. ni tbc pekee iliyorusha moja kwa moja msimamizi akimtangaza nassari mshindi.