engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana Jf
naomba niipongeze serikali yetu ya Tanzania kwa kazi nzuri inayo ifanya kutangaza mbuga zetu nchi za nje,nalisema hili baada ya kuona mabango wakati naangalia mechi kati ya sunderland na tottham leo usiku,kwani niliona bango lililoandikwa WWW.VISIT SERENGETI IN TANZANIA,kwa kweli ni mwanzo mzuri na kama tutajitanuwa kimatangazo kwa mtindo huu bila kuogopa gharama Tanzania itakuwa inajizolea mamilioni ya watalii kutoka ulaya na hii ni kutokana na matangazo kwani mala nyingi tunasikia wahenga wakisema biashara ni matangazo
pamoja tutajenga
naomba niipongeze serikali yetu ya Tanzania kwa kazi nzuri inayo ifanya kutangaza mbuga zetu nchi za nje,nalisema hili baada ya kuona mabango wakati naangalia mechi kati ya sunderland na tottham leo usiku,kwani niliona bango lililoandikwa WWW.VISIT SERENGETI IN TANZANIA,kwa kweli ni mwanzo mzuri na kama tutajitanuwa kimatangazo kwa mtindo huu bila kuogopa gharama Tanzania itakuwa inajizolea mamilioni ya watalii kutoka ulaya na hii ni kutokana na matangazo kwani mala nyingi tunasikia wahenga wakisema biashara ni matangazo
pamoja tutajenga