William Ana ban kutokana na zile thread zake za NyerereMkuu mgeni wenu yamekuwa hayo tena? Najua Le baharia atakujibu tu japo naona kama siku hizi ameisusa JF baad ya kuwa watu hawamtendei haki kwa kumshambulia; personal attack badala ya kushambulia hoja zake.
William Ana ban kutokana na zile thread zake za Nyerere
Swali ambalo huwa najiuliza kwa nini watu ambao wana nafasi ya kusimama wenyewe katika maisha wanahangaika na kutafuta kwa udi na uvumba nafasi za uwakilishi? Kuna nini huko? Ulaji?
Kwanini asiende jaribu kule kwao kwao Mvumi au Mtera?
Safari ya kisiasa huanza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa; ndio mwanzo wa safari hiyo... congrats!!!
Si kunakiupindi niliskia akisema ni mkazi wa segerea, naalijindaa kugombea jimbo iwapo makongoro angeshindwa kesi
Hao jumuia ya wazazi waliomchagua Willy naamini msimamo wao kuhusu Nyerere +ve jee wanafahamu msimamo wake na familia yake juu ya Nyerere?William Ana ban kutokana na zile thread zake za Nyerere