Baada ya CHADEMA kunyakua viti vingi vya ubunge ktk uchaguzi uliopita na kuonekana kuwa tishio kwa CCM.
Mkakati ulipangwa kuwanyamazisha wabunge wa CHADEMA bungeni kwa kuwabana kwa 'miongozo ya spika'kutoka kwa Lukuvi na wengine ili kuwamaliza nguvu jambo ambalo hatukuzoea kuliona ktk bunge la mh Sitta.
Baada ya CCM kuanzisha na wengine kujibu mapigo na kuonekana sasa ni kero,hatimaye jioni ya leo spika wa bunge amefunguka na kukemea tabia ya wabunge kuomba miongozo na kusema kuwa kanuni haziruhusu na amewasifu sana wabunge leo kwa kutoomba mwongozo hata mmoja.
Mkakati ulipangwa kuwanyamazisha wabunge wa CHADEMA bungeni kwa kuwabana kwa 'miongozo ya spika'kutoka kwa Lukuvi na wengine ili kuwamaliza nguvu jambo ambalo hatukuzoea kuliona ktk bunge la mh Sitta.
Baada ya CCM kuanzisha na wengine kujibu mapigo na kuonekana sasa ni kero,hatimaye jioni ya leo spika wa bunge amefunguka na kukemea tabia ya wabunge kuomba miongozo na kusema kuwa kanuni haziruhusu na amewasifu sana wabunge leo kwa kutoomba mwongozo hata mmoja.