Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
wakati wa ujana wangu,nilikamata valuu,nikamix na redbull,expecting kwamba mchuchu atakuja.Mara hakutokea,alitaitiwa kwao.
Vip,are u interested to know what happened thereafter?
Mkuu usirudie tena kumix hizo vitu. Ni viagra! Unatakiwa uvimix wakati mchuchu uko kwa bed tena umeshasaula kabisa. Shauri yako.