Pombe gani inaongeza urefu wa tendo la ndoa?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Naombeni msaada wenu.
Kuna baadhi ya bia nasikia zinasababisha mtarimbo ulale doro.
Pia nasikia kuna vinywaji vingine vinasababisha rigwaride ridumu kwa muda murefu.
Naomba tujulishane hapahapa jamvini.
 
Kuna MC Moshi alikufa hivi karibuni kwa kutafuta stimu kali ya pombe mchanganyiko kwa imani kwamba atapiga mechi kali mno! Tena alifia kifuani!
wewe kula vizuri tu... vipushapu viwili vitano hivi, usingizi wa kutosha (siyo kuwa mlala ovyo), .....yakigoma yota hayo muone Isacs Ndodi.
 
Kuna MC Moshi alikufa hivi karibuni kwa kutafuta stimu kali ya pombe mchanganyiko kwa imani kwamba atapiga mechi kali mno! Tena alifia kifuani!
wewe kula vizuri tu... vipushapu viwili vitano hivi, usingizi wa kutosha (siyo kuwa mlala ovyo), .....yakigoma yota hayo muone Isacs Ndodi.

For records alifia kunako tiGo!
 
Naombeni msaada wenu.
Kuna baadhi ya bia nasikia zinasababisha mtarimbo ulale doro.
Pia nasikia kuna vinywaji vingine vinasababisha rigwaride ridumu kwa muda murefu.
Naomba tujulishane hapahapa jamvini.
valeur na pepsi kama huna presha au kifafa
 
Kuna MC Moshi alikufa hivi karibuni kwa kutafuta stimu kali ya pombe mchanganyiko kwa imani kwamba atapiga mechi kali mno! Tena alifia kifuani!
wewe kula vizuri tu... vipushapu viwili vitano hivi, usingizi wa kutosha (siyo kuwa mlala ovyo), .....yakigoma yota hayo muone Isacs Ndodi.
...Issac Ndodi anadai mashine ikisimama inahitaji damu lita 3 kwa kweli nimepoteza imani nae....Kama kiungo kimoja kinahitaji lita 3 za damu na viungo vingine tena vikubwa vitahitaji kiasi gani?? Huko simshauri kwenda kabisa..
 
...Issac Ndodi anadai mashine ikisimama inahitaji damu lita 3 kwa kweli nimepoteza imani nae....Kama kiungo kimoja kinahitaji lita 3 za damu na viungo vingine tena vikubwa vitahitaji kiasi gani?? Huko simshauri kwenda kabisa..

Isaac Ndodi is a liar!
On the average, an adult human male who weighs 70 kg. has a blood volume of about 5 liters, Kwa kuwa Nguli hajui hesabu namrahisishia hapa Total volume of Blood in human represents about 7% of the body mass. Kama Lita 3 ubongo utakuwa hauna damu sasa!
 
..Kiranja, pombe nyingine unazotajiwa hapa kama utajaribu unaweza kuharibu kabisa na mpambano wenyewe so be careful mazee!
 
Back
Top Bottom