Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Utapenda,
kama vipi jaribu jmosi moja uone mwenyewe,
tena nitakuwekea na kisamvu pembeni.
Asante sana, sikosi aisee...
Utapenda,
kama vipi jaribu jmosi moja uone mwenyewe,
tena nitakuwekea na kisamvu pembeni.
ukishakula kisamvu inabidi ukapge tena mswaki, hakina adabu kile
wazaramo utawajua tu,halafu aibu kwani unakula na nguo za kuzaliwa.Huniambii lolote kuhusu Kiporo,
hasa kiwe ni Ubwabwa na Kisamvu kilichopikwa kwa Nazi.
Mama yangu weeee!!!!
Unakula mpaka unajisikia aibu.
una maana unakula kitumbua kimoja tu au kitumbua cha nyama.Kitumbu.....aaaaaaaaaaaaaaaa
wazaramo utawajua tu,halafu aibu kwani unakula na nguo za kuzaliwa.
Chapati
kiporo
vitumbua
andazi
kisheti
kababu
ugali............n.k
ha haaaaaaa, umenikumbusha, juzi nilipata mgeni, nikapika wali na maharage ya nazi. tukachelewa sana kulala, kesho yake sababu ilikuwa J1 napenda kuchelewa kuamka ila yeye alikuwa aende sehemu. nikamwambia asiniamshe akiamka maana angerudi baadae. sasa si akaamka kutengeneza breakfast? alikuwa kiporo choooooteeee, wakati niliona kilichobaki kingetutosha wote. aliporudi aliona noma sana ikabidi aanze kujieleza alishindwa kunibakizia.................Huniambii lolote kuhusu Kiporo,
hasa kiwe ni Ubwabwa na Kisamvu kilichopikwa kwa Nazi.
Mama yangu weeee!!!!
Unakula mpaka unajisikia aibu.
kiporo kiwe na kisamvu kilicholala na chenyewe!dah af ukipige usawa wa saa tano hivi!ah huamki hapo ulipokaa!tena ukitaka ukifaiid ukae chini kabisa ,manake kiporo utakulaje mezani eti na table mat juu?kasema nani!kiporo raha yake ushushie na maji sio juice delamonte!duh, kumbe waumini wa kiporo tupo wengi eeeh! kiukweli me si mtoto wa kishua, nagonga kiporo kila kinapopatikana tena kiwe cha ubwabwa wa maharagwe utajirambajeeee lolest!!!!!!
ha haaaaaaa, umenikumbusha, juzi nilipata mgeni, nikapika wali na maharage ya nazi. tukachelewa sana kulala, kesho yake sababu ilikuwa J1 napenda kuchelewa kuamka ila yeye alikuwa aende sehemu. nikamwambia asiniamshe akiamka maana angerudi baadae. sasa si akaamka kutengeneza breakfast? alikuwa kiporo choooooteeee, wakati niliona kilichobaki kingetutosha wote. aliporudi aliona noma sana ikabidi aanze kujieleza alishindwa kunibakizia.................
Huniambii lolote kuhusu Kiporo,
hasa kiwe ni Ubwabwa na Kisamvu kilichopikwa kwa Nazi.
Mama yangu weeee!!!!
Unakula mpaka unajisikia aibu.
swadaktaaaaa kingine napenda kiporo cha wali wa nazi....au kiporo cha wali maharage
asubuhi .....
Napenda sambusa za nyama au za mboga...
Napenda sandwich, niitengeneze mwenyewe....
Napenda chapati na kipaja cha kuku......
Kababu
kachori
bagia za kunde
uziri naandaa mwenyewe ....loh ndo maana vitamni haviishi badala ya kula matunda twala mavyakula mafuta kibaaaao