Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Kuna tetesi kwaba polisi nao wazidiwa huko Zanzibar.
mabomu ya machozi yarindima.
mabomu ya machozi yarindima.
Wamezidiwa kiivipi? Fafanua. Kama mabomu ya machozi yanarindima ndio kuzidiwa!
Hizi habari nusu nusu zinatuchosha tu,muda wa kuanza kutafakari uko wapi?
Polisi hawa huwa wajanja pale tu CHADEMA wanapo andamana.
Polisi wanawadekeza sana hawa watu wa kibandiko.
Mbona kwa CHADEMA wanadikili hata kuua waandishi wa habari?
Mtoto umleavyo ndio akuavyo.
Mkuu hawa si waislamu...ni waandamanaji wasio uhalali....Polisi waangamizeni kabisa hao Waislam
mtu akishaanza kuchoma kanisa na kuiba mali za kanisa hakuna cha busara tena ni kupasua vichwa tu! kanisa ni mahali patakatifu sana na pamewekwa wakfu mungu anakaa humo sasa wewe unataka kumchoma mungu??swala la kidini huwezi kukurupuka tu kulitaatua linahitaji busaara za hali ya juu coz ukibugi tu imekula kwako
FAHAMU YA KUWA mshahara wa dhambi ni mauti. Bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu (Warumi 6: 23).
OKOKA Kwasababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako yakuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako yakuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka (Warumi 10:9).
HAKUNA NJIA INGINE YA WOKOVU BALI NI KUPITIA YESU TU!