Polisi yazuia Operation Sangara ya CHADEMA Morogoro kisa hakuna Askari

Kimazingira imeshindikana lakini ndani ya mioyo ya wanamoro mkutano wa CDM uko pale pale.
 
Watazuia mikutano kufanyika lakini hawatazuia CHADEMA kuingia mioyoni mwa watu!!
 
viongozi wa chadema wametumia busara kubwa na kuondo ile dhana potufu ni chama fujo kwa wangefanya huo mkutano kungekuwa na fujo kubwa sana
 
Can one imagine this Pompomponess? _*%@¥
Unajua Mkutano ulizuiwa with reason HAKUNA ASKARI WA KUTOSHA KULINDA MKUTANO. Jiulize hao waliojipanga toka asubuhi kuzuia mkutano huohuo wametoka wapi?
Hapo hata mnywaji wa KONYAGI aliye kaunta kama mimi hapa anaelewa kuwa ccm ni mfupa ambao hata fisi anacheza mbali nao.
 
Ila tuliambiwa polisi hawatoshi

Nikianza kuhesabu polisi waliopo mjini tu pale stand ya daladala kwenye round about wapo 8, kwenda Sua kuna gari pale lina askari 7. pale B one jirani na CRDB zipo defendaer mbili ikiwa na jumla ya zaidi ya askari 15. Ukienda msamvu wapo 7. sijui kama hawa wasingeweza kuimarisha huo mkutano kwa ulinzi?
 
Nikianza kuhesabu polisi waliopo mjini tu pale stand ya daladala kwenye round about wapo 8, kwenda Sua kuna gari pale lina askari 7. pale B one jirani na CRDB zipo defendaer mbili ikiwa na jumla ya zaidi ya askari 15. Ukienda msamvu wapo 7. sijui kama hawa wasingeweza kuimarisha huo mkutano kwa ulinzi?

Nia yao sio kulinda ni kuua remember Arusha?
Mpaka wawe 200 ndo wanaridhika kwamba wataweza kuua angalao raia watatu!!
 
Kweli nimeamini kamanda shilogile hamnazo. Au alikuwa anajaribu kutaka kupima nguvu ya umma wa morogoro?
Safari hii haponi mtu hata kama ccm itajitahidi vipi kutumia vyombo vya dola kujaribu kuisimamisha M4C wataishia kupata aibu.
Wananchi wamewachoka sasa wao wanahangaika kutumia dola kukabiliana na Chadema.

Labda wajikite kwenye kuandaa vipindi vya tv kuonyesha utekelezaji wa ilani yao ya uchaguzi kwakuwa hapo wanaweza kuchakachua taarifa. Sasahivi wananchi hawachakachuliki tena wameshawastukia long time!
 
Kweli nimeamini kamanda shilogile hamnazo. Au alikuwa anajaribu kutaka kupima nguvu ya umma wa morogoro?
Safari hii haponi mtu hata kama ccm itajitahidi vipi kutumia vyombo vya dola kujaribu kuisimamisha M4C wataishia kupata aibu.
Wananchi wamewachoka sasa wao wanahangaika kutumia dola kukabiliana na Chadema.

Labda wajikite kwenye kuandaa vipindi vya tv kuonyesha utekelezaji wa ilani yao ya uchaguzi kwakuwa hapo wanaweza kuchakachua taarifa. Sasahivi wananchi hawachakachuliki tena wameshawastukia long time!

Nasikia Shologile ni Mlokole anawezaje kkushiriki udhalimu ?
 
Wazee nilikuwa eneo la fire kwenye tukio askari wamemwaza kinoma naskia abood kamwaga hela pale post za alawansi. Hapa mukionekana mumekaa kikundi wanakuja wanadhan M4C yaan hawana aman. Ila wajue kuwa watazuia watu sio sio mioyo ya watu.
 
Watanzania wanaona kinachoendelea na hakika kifo cha CCM kina kiko njiani..
Na baada ya kuizika ndiyo Mwema na genge lake watatueleza walikuwa watumishi wa CCM au wa umma. Kama wa CCM na mafao yao yaandaliwe hukohuko CCM. Kama walikuwa wa umma tuwashtaki kwa kushindwa kusimamia majukumu yao.
 
eeeh kumbe baadae tena polisi walitosha hadi wakaanza na kurandaranda mitaani,nimeamini ccm preeeeeeesha inapanda inashuka
 
Naona msafara wa magari kama 5 full askari kutoka fidi (ffu) na washawasha wakielekea old dar/Bigwa kwa taratiibu, possibly kuhakikisha hamna illegal assembly!
 
Hawa magamba wanajisumbua tu. Sijui wataweka wapi sura zao siku moja mambo yakibadilika.
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mgongano ambao ulikuwa unaendelea huko Mororgoro kati ya Polisi na Chadema. Nikijua kwamba wengi wa viongozi wa jeshi la Polisi wana style ya kikoloni ya kutumia nguvu katika kukabiliana na wananchi, nilitarajia kuona mpambano mwingine kati ya Polisi na Chadema, kwa kuwa wafuasi wa Chadema wakiwa wamechoshwa na vitendo vya uonevu vya polisi katika sehemu nyingi nchini walikuwa wameshaamua liwe litakalokuwalo.Ukweli ni kwamba Chadema walikuwa wamefikia critical mass, na walikuwa tayari kwa lolote toka kwa yeyote.

Hata hivyo, inaonekana Kamanda wa Polisi Morogoro, Faustine Shilogile aliamua kutumia busara na ushawishi badala ya nguvu. Alikutana na viongozi wa Chadema, akawachukulia kama viongozi kama yeye wenye heshima na busara zao, wakaongea. Matokeo yake ni kwamba alifanikiwa kufanya makubaliano na viongozi juu ya mikutano itakavyofanyika.

Namfahamu Shilogile kama graduate wa sheria. Ni wakati mzuri kwamba jeshi la Polisi liwe na watu kama Shilogile, wasomi ambao wanajua jinsi ya kutatua migogoro badala ya kuizidisha kwa mentality ya "tuone nan zaidi kati yenu na Polisi". Inasikitisha kwamba bado tuna makamanda wengi wa polisi ambao walipanda vyeo kwa ajili ya "utumishi wa miaka mingi", lakini kufikiri kwao ni kwa kizamani sana, kwa namna ya kikoloni ya kutumia nguvu badala ya busara. Ni wakati muafaka kwa mkuu wa Polisi, katika mazingira ya kisiasa ya sasa, kuanza kuondoa makamanda wa polisi wa namna hii ya kikoloni ili jeshi letu la polisi liwe chombo ambacho wananchi wanaona kipo kwa ajili yao na si watawala wachache walioko madarakani.

Hongera sana Shilogile. Na pia nawapongeza viongozi wa Chadema Morogoro kwa kuonyesha busara katika uongozi wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom