TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
umeshawahi kuandamana naye?Serikaliya CCM inahitaji watu kama kina LeMA wengi tu
Wasomi wanatumi na nadharia za vit darsani abu tu hawaiwezi CCM hawawezi.
Wamejaribu kina lipumba, Slaa CCM wanafanya mzaha tu.
So a mixture of both wasomi and the likes of LEMAs ndio italeta mabadiliko.
Until tukifikia kama tunavyoona kwenye bunge la kenya. Maana kulekenya hata wasomi sometime wanaweka usomi pembeni . am sure u know why this happen?