Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
Kwa kweli ikitokea maandamano ya kweli ya dhamira hawa police wataua sana watu maana hawana mafunzo yeyote ya kupambana na maandamano au migomo mikubwa !!! Yaani hii ya leo ni kali........
....mie sijui polisi wa nchi hii wametrainiwa vipi,,,,,ila nadhani viongozi wa jeshi la polisi nchini ndo wanayaleta haya!!!!