Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Aje tu lakini akae akijua huku hatulipii vyumba wana ume wenzetu na kuwa nunulia suti....kama JK atakua A-Town asipoangalia vizuri yatamkuta yale yaliyomkuta Chuo kikuu kwenye maafali ya miaka 50. Vijana walikosa uvumilivu hivyo si ajabu arusha nako yakawa vivyo hivyo.