Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Ndugu wanaJamvi
Jana niliongea na afisa mmoja wa ngazi ya juu wa polisi hapa Arusha,katika mazungumzo yetu afisa huyu alikiri kuwa bado polisi inaendelea kumtafuta Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Arusha,alikiri kuwa jana jioni walimtegea maeneo ya December lakini ghafla alipotea kimiujiza,jioni akategewa tena eneo la soko kuu,na polisi walipofika tu akatoweka tena ghafla,hali hii imezua maswali sana kwa polisi,jinsi huyu Nanyaro alivyo na uwezo wa kuwapotea,hali inayofanya polisi kuamini penginne ana mafunzo ya maalum,kingine ni Utii walio nao vijana wa Arusha kwake,inasemekana kuwa Vijana wengi wanamsikiliza sana Nanyaro na wana nidhamu kama nidhamu ya Jeshi.
Kingine polisi wanahofia kumkamata kwa nguvu kwa hofu ya kuzua machafuko,kutokana na huo utii na nidhamu waliyonayo vijana wengi wa Arusha kwa kamanda wao Nanyaro
Jana niliongea na afisa mmoja wa ngazi ya juu wa polisi hapa Arusha,katika mazungumzo yetu afisa huyu alikiri kuwa bado polisi inaendelea kumtafuta Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Arusha,alikiri kuwa jana jioni walimtegea maeneo ya December lakini ghafla alipotea kimiujiza,jioni akategewa tena eneo la soko kuu,na polisi walipofika tu akatoweka tena ghafla,hali hii imezua maswali sana kwa polisi,jinsi huyu Nanyaro alivyo na uwezo wa kuwapotea,hali inayofanya polisi kuamini penginne ana mafunzo ya maalum,kingine ni Utii walio nao vijana wa Arusha kwake,inasemekana kuwa Vijana wengi wanamsikiliza sana Nanyaro na wana nidhamu kama nidhamu ya Jeshi.
Kingine polisi wanahofia kumkamata kwa nguvu kwa hofu ya kuzua machafuko,kutokana na huo utii na nidhamu waliyonayo vijana wengi wa Arusha kwa kamanda wao Nanyaro