Dodoma RPC is a longtime associate of JK and his transfer to Dodoma was purposely made in order to safeguard the interests of Magamba and thereby extend their domination in central zone.
Wewe ni lazima utakuwa NJAGO! ubongo umeshalambwa na ulimi wa magamba!Hivi hakuna njia nyingine ya kudai haki mpaka Muandamane kwa kila jamboo? Cjaona chama chenye ulimbukeni katika dunia hii kama chadema maana kila kukicha ni maandamano tuu. Kumbukeni ipo cku nanyi mtakuwa madarakani hvy hii tabia mnayoipanda kwa wananchi itakuja iwaathiri na vijana ni maridadi kwa kukariri wajengeeni2 hayo mazingira ya kuandamana kwa kila jambo hata kama mambo mengine yananjia zingine za kudai, . huu ni wakati wa kujenga nchi tumeshachagua serikari na wawakilishi ambao ni wabunge wa ku2semea mpo kazi yenu ni nini? Maana mahakama zipo, police wapo pia , mbona mnataka kuhodhi mamlaka ya serikari na vyombo vyake? Acheni upuuzi msicheze na amani ye2 jamani wengine tumechuma kwa jasho na bidii zetu mnataka vurugu itokee tuwe maskini? Msitupelekepeleke2....
Hivi hakuna njia nyingine ya kudai haki mpaka Muandamane kwa kila jamboo? Cjaona chama chenye ulimbukeni katika dunia hii kama chadema maana kila kukicha ni maandamano tuu. Kumbukeni ipo cku nanyi mtakuwa madarakani hvy hii tabia mnayoipanda kwa wananchi itakuja iwaathiri na vijana ni maridadi kwa kukariri wajengeeni2 hayo mazingira ya kuandamana kwa kila jambo hata kama mambo mengine yananjia zingine za kudai, . huu ni wakati wa kujenga nchi tumeshachagua serikari na wawakilishi ambao ni wabunge wa ku2semea mpo kazi yenu ni nini? Maana mahakama zipo, police wapo pia , mbona mnataka kuhodhi mamlaka ya serikari na vyombo vyake? Acheni upuuzi msicheze na amani ye2 jamani wengine tumechuma kwa jasho na bidii zetu mnataka vurugu itokee tuwe maskini? Msitupelekepeleke2....
Dodoma RPC is a longtime associate of JK and his transfer to Dodoma was purposely made in order to safeguard the interests of Magamba and thereby extend their domination in central zone.