Polisi wazuia mikutano ya Chadema nchi nzima; Chadema wamekubali?

Inasikitisha Mwema kuangukia kwenye mtego huu. Makongoro-CCM aliruhusiwa kufanya mkutano lakini Mpendazoe-CDM akazuiliwa. Hofu yao ni nini??? Wanadhani CDM inataka kupindua nchi??
 
IGP Mwema by virtual of his position is instigating vurugu nchini.

For what it worth, unjust law is not law at all, citizens have rights and duties to resist, either by violence or non violence methods.

This is unacceptable and intolerable!
 
Tabia ya wezi sikuzote nikujihami! Kikwete hafai kuwa raisi kwa mambo mengi yakiongozwa na udini, ametangaza swala la udini mahala popote alipopata nafasi yakuongea na wananchi tangu uchaguzi uishe,wakati udini haupo kabisa na wala haukuwepo ameupalilia kwa nguvu zake zote na akilizake zote.Namatokeo yake tutayaona mda sio mrefu na hii dhambi nikubwa kuliko uchakachuaji wakura walio ufanya, mfano mdogo kuwa dhambi hii imeanza kutoa adhabu! Tartoo anauliza kwenye thread yake mamlaka ya mwema kuzuia mikutano ya vyama vyasiasa Jurusalem anajibu BAKWATA, hii ni kitugani? Jerusalem hajachanganyikiwa ila anawasiwasi juu ya msimamo wa wa islamu katika maamuzi ya vyombo vya dora kwasababu raisi mwenyewe kaonyesha utashi wake juu ya udini na mustakbali wanchi.....na hii nidhambi ambayo kikwete anatakiwa kujuta na aonekane kuwa kajutia kwa kutangaza kwanguvu udini ambao haukuwepo.

Swala lapili katika uhalifu unaomfanya kikwete asiwe raisi sahihi kuliongoza taifa hili ni suala la amani nautulivu,yeye mwenyewe kwa kwa kutumia utashi wake na vyombo vya dora ikiwa ni majeshi ulinzi na usalama pamoja najeshi la wananchi wamekuwa wakitumia nguvu kueneza habari za kuvunjika kwa amani na utulivu vitu ambavyo havipo na kujenga hisia kwa wananchi kuwa sasa usalama haupo tena.Hizi nipropaganda chafu ambazo zitaligharimu taifa hili kwa manufaa ya kikundi kidogo cha watu wasio zidi hata miliono moja katika taifa hili.

Hakika nawaambia kama tuta baguana kwa udini usalama wanchi utakuwa mashakani kwa kukosekana kwa amani na utulivu mwasisi wake ni kikwete.Kikwete na kundi lako mmechakachua kura za uchaguzi mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa watanzania kwa kuwapa viongozi ambao hawa kuwachagua ukiwa nawewe mwenyewe. Umeona haitoshi sasa unataka kuliangamiza taifa kwa kumwaga damu bila hatia yoyote.
 
Jana tulichapisha habari iliyosema kwamba Jeshi la Polisi nchini limevikataza vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara kwa madai kwamba hali ya usalama nchini haijawa nzuri. Kwa kauli hiyo, jeshi hilo linataka kuwaeleza Watanzania kuwa nchi yetu iko katika machafuko kiasi kwamba mikutano ya kisiasa inayojumuisha watu wengi itazua balaa la vifo na umwagaji damu. Kwa maneno mengine, nchi yetu imo katika hali ya hatari, ingawa Rais hajatangaza rasmi kuwapo kwa hali hiyo.

Habari hizo zilisema kwamba baadhi ya wabunge walioshinda katika majimbo mbalimbali nchini, hasa kutoka katika vyama vya upinzani, wamenyimwa vibali vya kufanya mikutano ya hadhara yenye lengo la kuwashukuru wananchi kwa kuwapigia kura na pia kuomba waungwe mkono na wale ambao walivipigia kura vyama vingine. Kwa kifupi, mikutano ya wabunge hao ililenga kuwaleta wananchi pamoja ili wawe kitu kimoja na waungane tena kujenga taifa letu kama ilivyokuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu.

Haiingii akilini hata kidogo kwa mtu au chombo chochote kueneza uzushi wa kuwatia wananchi hofu kwamba hakuna amani wala usalama wa kutosha nchini, wakati kila mtu mwenye akili timamu anajionea mwenyewe jinsi amani na utulivu vinavyoendelea kutawala katika kila kona ya nchi, huku wananchi wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. Jambo linaloshangaza ni kwamba ingawa jeshi hilo la polisi limechukua hatua hiyo, uongozi wa juu wa jeshi hilo umekuwa ukijikanyaga kwa kutoa kauli zinazokinzana, huku likiwatupia mpira makamanda wao wa mikoa, lakini kwa upande mwingine ukidai kilichopigwa marufuku ni maandamano yanayotangulia mikutano hiyo, siyo mikutano yenyewe.

Kitendawili kikubwa kinachopaswa kuteguliwa hivi sasa ni kama kweli jeshi hilo linaweza kukurupuka kama lilivyofanya na kupiga marufuku vyama vya siasa, hasa vya upinzani, visifanye shughuli za kisiasa bila kuagizwa na chama tawala, pengine kwa kujificha chini ya kivuli cha serikali?


Swali linaloulizwa hivi sasa ni kwa nini serikali, kama kweli ndiyo inayohusika na kutoa amri hiyo, haikutafuta sababu yenye mantiki badala ya kusema tu kwamba hali ya usalama nchini haijawa ya kuridhisha? Na kama hatua hiyo ilichukuliwa kwa nia njema, kwa nini vyama vya siasa havikupewa taarifa rasmi ili kuepuka kuwapo kwa sintafahamu

Tungependa kusisitiza kitu kimoja, kwamba kulingana na Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992, vyama hivyo havihitaji kibali cha mamlaka yoyote ili vifanye mikutano ya kisiasa. Sheria inavitaka viombe rasmi ulinzi wa polisi, siyo vibali vya kufanya mikutano. Ndiyo maana tunasema kuwa hatua iliyochukuliwa na jeshi hilo la polisi ni kinyume cha sheria. Pengine kuna ulazima Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa akalitolea ufafanuzi suala hilo haraka iwezekanavyo.

MWANANCHI
 
Ni jambo lililowazi kuwa wakubwa hawa wa polisi wameligeuza jeshi kuwa mwambata wa ccm.Na wapo katika nafasi hizo si kwa ajili ya maslahi ya taifa bali ni kwa ajili ya maslahi yao,waliowateua na ndugu zao angalia jinsi IGP said mwema alivyomchakachua RPC basilio matei na wenzake baada ya mwambata wao mkubwa ccm kushindwa katika maeneo yao.Mwema ni muumini mkubwa wa vurugu ili kuipatia ccm ushindi.Nilikuwa namuamini kama mtu makini lakini sasa wote lao moja!

viongozi wamewekwa mahususi kulinda matakwa ya wakubwa, ndo maana wako tayari kudhalilisha taaluma zao ili kuwafurahisha wakubwa au familia zao, mfano migogoro yote ya matokeo ya uchaguzi imesababishwa na viongozi kukiuka taratibu za uchaguzi na kufuata matakwa ya akina makamba, riz one na waumini wengine wa sisihem huyu igp uswahiba na ushemeji unamtesa amedhamilia kuibeba sisiem pamoja na uzito wa maovu kwa kutowaruhusu cdm wayaanike maovu ya ss em na nec ili watz tuyaelewe na kuyatolea uamuzi stahili kwa style hii ni kujidanganya KUMBUKA BABA WA TAIFA JKN ORIJINO ALISEMA KUBISABISA BURWIRE KIRIRO KIRAMBURA Kalagabaho na shemeji yako (Serikali ya baba mama wana mashem maswahiba)
 
Jana tulichapisha habari iliyosema kwamba Jeshi la Polisi nchini limevikataza vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara kwa madai kwamba hali ya usalama nchini haijawa nzuri. Kwa kauli hiyo, jeshi hilo linataka kuwaeleza Watanzania kuwa nchi yetu iko katika machafuko kiasi kwamba mikutano ya kisiasa inayojumuisha watu wengi itazua balaa la vifo na umwagaji damu. Kwa maneno mengine, nchi yetu imo katika hali ya hatari, ingawa Rais hajatangaza rasmi kuwapo kwa hali hiyo.

Habari hizo zilisema kwamba baadhi ya wabunge walioshinda katika majimbo mbalimbali nchini, hasa kutoka katika vyama vya upinzani, wamenyimwa vibali vya kufanya mikutano ya hadhara yenye lengo la kuwashukuru wananchi kwa kuwapigia kura na pia kuomba waungwe mkono na wale ambao walivipigia kura vyama vingine. Kwa kifupi, mikutano ya wabunge hao ililenga kuwaleta wananchi pamoja ili wawe kitu kimoja na waungane tena kujenga taifa letu kama ilivyokuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu.

Haiingii akilini hata kidogo kwa mtu au chombo chochote kueneza uzushi wa kuwatia wananchi hofu kwamba hakuna amani wala usalama wa kutosha nchini, wakati kila mtu mwenye akili timamu anajionea mwenyewe jinsi amani na utulivu vinavyoendelea kutawala katika kila kona ya nchi, huku wananchi wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. Jambo linaloshangaza ni kwamba ingawa jeshi hilo la polisi limechukua hatua hiyo, uongozi wa juu wa jeshi hilo umekuwa ukijikanyaga kwa kutoa kauli zinazokinzana, huku likiwatupia mpira makamanda wao wa mikoa, lakini kwa upande mwingine ukidai kilichopigwa marufuku ni maandamano yanayotangulia mikutano hiyo, siyo mikutano yenyewe.

Kitendawili kikubwa kinachopaswa kuteguliwa hivi sasa ni kama kweli jeshi hilo linaweza kukurupuka kama lilivyofanya na kupiga marufuku vyama vya siasa, hasa vya upinzani, visifanye shughuli za kisiasa bila kuagizwa na chama tawala, pengine kwa kujificha chini ya kivuli cha serikali?


Swali linaloulizwa hivi sasa ni kwa nini serikali, kama kweli ndiyo inayohusika na kutoa amri hiyo, haikutafuta sababu yenye mantiki badala ya kusema tu kwamba hali ya usalama nchini haijawa ya kuridhisha? Na kama hatua hiyo ilichukuliwa kwa nia njema, kwa nini vyama vya siasa havikupewa taarifa rasmi ili kuepuka kuwapo kwa sintafahamu

Tungependa kusisitiza kitu kimoja, kwamba kulingana na Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992, vyama hivyo havihitaji kibali cha mamlaka yoyote ili vifanye mikutano ya kisiasa. Sheria inavitaka viombe rasmi ulinzi wa polisi, siyo vibali vya kufanya mikutano. Ndiyo maana tunasema kuwa hatua iliyochukuliwa na jeshi hilo la polisi ni kinyume cha sheria. Pengine kuna ulazima Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa akalitolea ufafanuzi suala hilo haraka iwezekanavyo.

MWANANCHI
 
kwa kweli chadema wanatakiwa watulie na waache kukurupuka wajipange

sio dhambi kwa muungwana kujirudi na kusawazisha alipokosea na muungwana hasa ni vitendo

ndugu zangu wa chadema kuna mambo ya haraka mnatakiwa muyatizame au mutajimaliza

musiwe wepesi wa kutegwa mkategeka hayo walianza ndugu zenu wa CUF leo mnaona walipofika sasa naona na nyny mmeamua kuwafata njia ile ile
 
Pamoja na hizo taarifa, mbona hatujasikia kauli kutoka uongozi wa juu wa CHADEMA?
 
Sasa hizo sheria ulizoweka hapo ni za kufanya maandamano? Umezuwiwa kuandamana siyo kufanya mkutano!

Hata maandamano, polisi hawana mamplaka ya kuzuia au kutoa kibali, bali wanaonuia kufanya hivyo (kuandamana) sheria inawataka kutoa taarifa polisi ili wapewe ulinzi unaotakikana kutimiza azma hiyo ya kuandamana kwa amani na si vinginevyo.

Jeshi la polisi limekuwa likipora au kujiundia sheria na kimsingi uwongo unaporudiwa rudiwa bila kukanushwa huwa unaaminika kuwa ukweli.Bila shaka, kwa kuwa kauli hiyo imetolewa na polisi, na kwa kuwa wananchi hawazifahamu vizuri sheria za nchi, si ajabu wakawaamini jeshi la polisi kuwa wana mamlaka ya kutoa kibali cha mkutano jambo ambalo halina mashiko kisheria na ni ukiukwaji mkubwa wa sheria za nchi unaofanywa na jeshi la polisi kulinda maslahi ya bosi wao JK.
 
Wamechemsha, Moto utawaka ,itakura kwao wasicheze na wananchi
hizi kauli huwa zinanifanya nijiskie vibaya sana, kwani baadhi yetu bado tuna hangover aisee

There could be an alternative approach to reach wananchi na si lazima mitukano ya hadhara... inaitwa community approach
 
Sio mnawatukana bila ya kuangalia Elimu yake huyo IGP Mwema inawezekana hana elimu ya kutosha anachojua yeye ni ubabe lakini akifika kwa mkewe hana ubabe. Sasa mimi nauliza hivi hawa Polisi wa bongo wana elimu gani? inawezekana tunawalaumu kumbe shule imewapitia pembeni isije ikawa wamesomea katika Shule za kata alizojenga Kikwete.
 
Igp ana bachelor ya law,pia ni advocate alipewa cheti cha uwakili, lakini anafanya mambo tofauti na tasania nzima ya sheria .Pia ni mhafidhina sana wa dini ya kiislamu na mwanachama hai wa CCm mwenye kadi no 252367 iliyotolewa mwaka 1979 tawi la kisutu.
 
kama uongozi wa CHadema na vyama vingine vya upinzani wamekubali nakutii hilo ni tatizo lao!!! vinginevyo wataambiwa hawawezi kukaa pamoja na kula na watakubali!
 
Nilijua hili litatokea soon or later, I suggest wananchi wenyewe tujiorganise "kudai katiba na tume ya uchaguzi kubadilika" wenyewe... I suggest kutumia njia mbadala kama kuorganise namba ya sms kwa wananchi kutuma na kudai katiba mpya tunaweza kutumia hii kama ammunition kwa kuwapa wabunge wetu kujadili hili suala bungeni. "Non violence non violence, We shall overcome"

Wewe voiceofResoan usiseme "non violence we shall overcome!!".
Don't sit down and sing we shall overcome. these sisiem floks are bigots. I eager to say people must act by all means for fighting for our freedom. those who can karatee, judo, kung-fuu etc, let us act. we can't just sit down and sing we shall overcome. for how long gonna we wait?
We must act immediately, these bigots will know that we are serious.

The time of being slaves in our own land is over. most of us wananchi are slaves in our own land. slaves of the bigots leaders. this is intolerable.
let us die now, so others will live in peace.
Chadema watoe tamko tu.
 
Back
Top Bottom