zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Hii nchi ya kipimbi sana... kwa style hii hatutaendelea kamwe!
kama vip tujikusanye na tuingie barabarani tu kwani kibali kitu gani bana?:disapointed:
Huyu mia kwa mia hayupo Tanzania, usiwaponze wenzako kwenda kula mkong'oto wa vichaa FFU.