Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Eti utawasikia wakiwataka wananchi watii sheria bila shuruti, wakati huo wao wako mstari wa mbele kuvunja sheria.
Haya ni matokeo ya failures wengi kuajiriwa jeshi la polisi, hawatumii akili hata kidogo.
Haya ni matokeo ya failures wengi kuajiriwa jeshi la polisi, hawatumii akili hata kidogo.