Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Angalau Police Force wamepata kazi ya kufanya na sio kushinda kwenye barracks wanapiga majungu!
Thus why nikasugest nafasi za ajira kwa askal police zipunguzwe!! Hawana kazi ya kufanya zaidi ya kuumiza raia wasiokuwa na hatia! Vijana wanaandamana,hawana hata jiwe mkononi then wanapigwa virungu na mabom ya machozi!! Ndo kaz walioajiriwa?? Kama sio kupima hasira za watu ni nn! Raha yenu ni kuumiza wengine?? Naogopa ipo sku wataondolewa uvivu na kibao kitawageukia! KILA LA KHERI UDSM!