Tume hizi ni dalili za ulaji tu kwani hazina tija kwa jamii. Cha msingi kila kitu kipo wazi hapa wote walio husika kwa namna moja au nyingine lazima wafikishwe katika vyombo vya sharia.
Hiyo tume itakuja kutafuta nini wakati ushahidi wameshaufuta? Wamemzika marehemu kabla ya forensic investigation, walibeba mwili wa marehemu kutoka kwenye tukio haraka sana ili kupoteza ushahidi...bado naamini RPC Iringa anahusika na unyama huu...awajibike, polisi aliye triger lile bomu anajulikana awekwe ndani kwa kosa la mauaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.