Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Hapo sina neno la kuongeza ila nasubiri matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ritzi kudadako Bilali kafanya nini zanzibar,AHAKUNA SENSA,ACHA ISHU ZA KIJINGA HIVI MBONA KAMA UNAFIRW......... WE GAMBA, Kufa Ulaya Mazishi Afrika la mama yako.
Nakubaliana na wewe, wanasiasa
wooote waliofanya mkutano kwa nguvu wapelekwe mahakamani, na hapa
naamanisha wote including Dr Bilali aliyefanya mkutano mkubwa wa CCM
huko Bububu jana 2nd Sept 2012.
Kifo cha mwandishi Daudi kilipangwa mimi nilikuwepo kwenye eneo la tukio, hakuna aliyesababisha vurugu isipokuwa Polisi
Chadema walipofika waliruhusiwa kufanya mkutano wa ndani wakati wakijiandaa kusaini kitabu cha wageni na wanachama wengine wakiwa nje amri ikatolewa na viongozi wa chadema kuwa wasio wanachama waondoke kwani hakuna mkutano. sekunde chache Kamuhanda akatoa amri ya watu wote kutawnyika. Wakati wote huo Mwangosi alikuwa akichukua matukio ya pande zote zaidi sana alikuwa jirani na polisi pasipo wasiwasi wowote.....
Ni kweli mkuu!wote wanyakyusa sio?
Mwaka jana Mwenyekiti wa CCM Rungwe aliuwawa na "mahasimu " wake wa kisiasa.
Baadaye kidogo Prof Mwandosya akaugua.
Hatukukaa sawa Dr Mwakyembe akaugua lwa sumu isiyoeleweka.
Sakata la Dr Ulimboka bado hatujalisahsu.
Sasa Mwanfishi wa habari CH 10 Ndg Mwangosi ameuwawa.
Wandugu pamoja na UCCM wangu sasa nakosa amani
Pole mdogo wangu masopakyindi ila uliyoyataja wazungu huyaita "just the tip of an iceberg". Nitakachokuomba ni kitu kimoja tu, zidi kufunguka macho uweze kuyaona yale ambayo wengine tunayaona na kuyashuhudia kila siku na kila saa...yanasikitisha, yanaudhi na yanakasirisha. Maswali utakayoamua kujiuliza hivi sasa kama tu ungethubutu kujiuliza awali hapo nyuma, labda mchango wako katika kurekebisha hali kama hiyo ingeweza kuleta tofauti. Kama ilivyokuwa kwa Farao wa Misri, ilibidi ampoteze mtoto wake mpendwa ndipo fahamu za kujiuliza maswali magumu zilipomjia. Ni kweli finally alisalimu amri but at what cost!
Sina hakika una umri gani lakini Marehemu Daud Mwangosi angeweza kuwa mwanao au mdogo wako...sasa shuhudia wauaji wake wanavyoendelea kutamba. Kwa nini wanatamba? Kwa sababu wengine tulipopaza sauti zetu, ndugu zetu mliziba masikio, tulipolalamika hamkutuunga mkono, tulipotoa tahadhari mlitucheka...Kiburi cha Kikwete, kiburi cha CCM, kiburi cha Said Mwema na kiburi cha Kamuhanda kinatokana na waliokaa kimya kama wewe. Kwa mauaji yaliyofanyika hadi leo na kwa shida na taabu zinazotukabili, wewe masopakyindi ni mshiriki na huwezi kukwepa lawama.
Francis Dande, HabariMseto blog -- JESHI la Polisi nchini limeunda tume itakayochunguza kifo cha Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Channel TEN, Marehemu Daud Mwangosi kilichotokea mjini Iringa wakati Jeshi la Polisi likipambana na wafuasi wa Chadema waliokuwa katika ufunguzi wa tawi la chama hicho katika Kijiji cha Nyololo mjini Iringa.
Daud Mwangosi
Paul Chagonja
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Paul Chagonjauchunguzi huo utavishirikisha vyombo vya usalama kutoka Jeshi la Polisi pamoja na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 'kuwa Jeshi la Polisi limeunda tume itakayowahusisha Maofisa kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ pamoja Mkurugenzi wa Makosi ya Jinai Robert Manumba, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema ili kubaini ukweli kuhusu kiliochosababisha kifo cha mwandishi huyo basi tusubiri matokeo ya uchunguzi huo' alisema Chagonja.
Marehemu Mwangosi amefariki dunia jana wakati baada ya kulipukiwa na kitu kinachachodaiwa kuwa ni bomu wakati chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema) kikifungua tawi la chama vchake katika Kijiji cha Nyololo mjini Iringa.
Source: Jeshi la Polisi launda Tume ya kuchunguza kifo cha Daudi Mwangosi - wavuti