Man 4 M4C JF-Expert Member Aug 2, 2012 743 114 Oct 4, 2012 #41 Si wanajua hata wakiua hawafanywi lolote,liwalo na liwe...............
M mwana wa africa JF-Expert Member Apr 17, 2011 548 128 Oct 4, 2012 #42 kwani ile kamati ya kisanii ya nchimbi inamaliza kazi lini?
M mamajack JF-Expert Member May 21, 2012 1,156 296 Oct 4, 2012 #43 Siku watmuua dhaifu au mwanae ndo serikalin itaamka.
kbosho JF-Expert Member Jun 4, 2012 13,029 6,559 Oct 4, 2012 #44 nahisi ni mpango wa ccm kutafuta pesa za kampeni 2015 maana hali yao ya kipesa ni mbaya