nimeshuhudia hapa friends corner polisi wakikimbia baada ya gari lao kushambuliwa na mawe.
jamani ccm someni alama za nyakati msipake mate kulazimisha mambo yasiyo wezekana
Ilikuwa kama sinema ya bure hapa NMB Clock tower jioni hii polisi wawili walipoacha lindo na kutimua mbio live waliposikia sauti za kundi kubwa la vijana waliotokea kwenye mkutano wa Chadema. Vijana hawa zaidi ya 2000 walikuwa wakisukuma gari ya Lema kutokea viwanja vya NMC huku wakiimba"bila Lema patachimbika". Walipofika round about ya clock tower wakawaona polisi waliokuwa pale benk na kupiga kelele haooo!!.Ghafla polisi wale 2 walinyanyuka na silaha zao wakatimua mbio bila kukimbizwa na mpaka naondoka eneo la tukio lindo lilikuwa bado limetelekezwa. Akina mama waliokuwepo eneo hilo walishikilia mbavu zao kwa kicheko kwani hii ni mara ya kwanza kuona polisi wenye silaha wakiwakimbia raia kwa spidi kubwa mithili ya wanariadha.
Lazima wakimbie maana vijana wa CDM walikuwa wana rizm ya viroba na ndumu wangewadhuru bure askari wetu watiifu wise decision!
Tatizo umekurupuka usingizini ili uende viwanja la sivyo isingekuwa ngumu kwako kuelewa kwamba mkutano wa CDM haukufanyika bar bali uwanja wa wazi. Jifute tongotongo na kapige mswaki ndo urudi kuchangia.
Ilikuwa kama sinema ya bure hapa NMB Clock tower jioni hii polisi wawili walipoacha lindo na kutimua mbio live waliposikia sauti za kundi kubwa la vijana waliotokea kwenye mkutano wa Chadema. Vijana hawa zaidi ya 2000 walikuwa wakisukuma gari ya Lema kutokea viwanja vya NMC huku wakiimba"bila Lema patachimbika". Walipofika round about ya clock tower wakawaona polisi waliokuwa pale benk na kupiga kelele haooo!!.Ghafla polisi wale 2 walinyanyuka na silaha zao wakatimua mbio bila kukimbizwa na mpaka naondoka eneo la tukio lindo lilikuwa bado limetelekezwa. Akina mama waliokuwepo eneo hilo walishikilia mbavu zao kwa kicheko kwani hii ni mara ya kwanza kuona polisi wenye silaha wakiwakimbia raia kwa spidi kubwa mithili ya wanariadha.
Acha hiyo ya clock tower. katika eneo la mkutano kulikuwa na defender ya polisi inapita barabarani ikijaribu kutanua njia kwa kasi mpaka ikamgonga mwendesha boda boda. baada ya kumgonga pembeni watu walilishambulia kwa mawe ilibidi wakimbie kwa kujiokoa. polisiccm ni waoga kama nini.