Si naye akatae kuhojiwa kama Mabandidu wengine wa cdm? Nimeona mahali huko Mbeya Mwenyekiti wa CDM naye amekataa kuhojiwa na Polisi.
Wanaacha kutukamatia wezi waligawana nyumba za serikali, wanahangaika na raia wema.
Kazi kweli kweli hawa polisi chini ya Nchimbi tutaona mengi sana
Wamkamate kwa kosa gani?
mbona hawajamfuata jk awaeleze wale wauza unga anaowajua
kuna taarifa ya kwamba polisi wapo nje ya jengo la bunge kwa ajili ya kumsubili mnyika akitoka bungeni wamkamate.
source: waliopo dodoma
KIBANGA AMPIGA MKOLONI, Huu ndo uliku uungwana bana sio siku hizi tunapelekana kama wake wenza juu ya mapenzi yetu kwa TANZANIA? Ila........
Mmh! yaelekea hao policcm wa dodoma hawamjui Mnyika maana tangu jana tunaambiwa wanamsubiria nje ya bunge wamkamate sasa inamaana mnyika alilala ndani ya bunge hakutoka?? :confused2:
Ndo upumbavu wa siasa.
Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo shetani.
Kwahiyo kamata kamata inaendelea!!