Polisi, wananchi wapambana kwa risasi, mabomu na mawe

fangfangjt

JF-Expert Member
Apr 25, 2008
571
139
MJI wa Maswa jana uligeuka uwanja wa mapambano baina ya wananchi na polisi, huku risasi, mabomu ya machozi na mawe vikitumika kama silaha baina ya pande hizo.

Polisi walitumia risasi na mabomu ya machozi kuwadhibiti wananchi waliokuwa wameamua kujichukulia sheria mkononi kumwadhibu mkazi mmoja wa mjini hapa Masanja Juma (28), aliyetuhumiwa kwa wizi wa kuvunja maduka



SOURCE : NIPASHE
 
Sipendi wananchi wajichukulie sheria mikononi ila hao majambazi wanakera. Ningekuwa Polisi ningechuna, kama vile sio mimi vile. kumbuka walichowafanya polisi wetu pale shinyanga majuzi. inaniuma sana nikifikiria.
 
Back
Top Bottom