Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Habari wakuu,
Kuna kibaka mzoefu Buguruni anayetumia visu na bisibisi kupora watu.
Huyu kibaka anatega mingo Buguruni na anajulikana na watu wa eneo lile, anaogopwa na hakuna wa kumletea fyokofyoko maana akijua tu kiama chako kimefika.
Ni kwamba kabla ya kukupora anakuchoma choma visu sehemu mbalimbali alafu anakutoboa macho. Akishakupora anakupeleka katikati ya barabara ili ugongwe na gari ufe. Hayo yote anafanya mbele za watu na hakuna msaada utapata.
Kwa hisani ya HEKAHEKA
______
Kituo cha polisi hakipo mbali na maeneo anayofanyia uharifu, cha kushangaza hatiwi nguvuni na anaendelea kuua watu.
Nitajitolea niende kupambana nae na nitampoteza. Wanaume wa DAR mmeonesha udhaifu ngoja sie wa mkoani tuwaoneshe shughuli ''Sitakagi ujinga mimi"
Kijana aliyekutana na masaibu ya Scorpion
Kuna kibaka mzoefu Buguruni anayetumia visu na bisibisi kupora watu.
Huyu kibaka anatega mingo Buguruni na anajulikana na watu wa eneo lile, anaogopwa na hakuna wa kumletea fyokofyoko maana akijua tu kiama chako kimefika.
Ni kwamba kabla ya kukupora anakuchoma choma visu sehemu mbalimbali alafu anakutoboa macho. Akishakupora anakupeleka katikati ya barabara ili ugongwe na gari ufe. Hayo yote anafanya mbele za watu na hakuna msaada utapata.
Kwa hisani ya HEKAHEKA
______
Kituo cha polisi hakipo mbali na maeneo anayofanyia uharifu, cha kushangaza hatiwi nguvuni na anaendelea kuua watu.
Nitajitolea niende kupambana nae na nitampoteza. Wanaume wa DAR mmeonesha udhaifu ngoja sie wa mkoani tuwaoneshe shughuli ''Sitakagi ujinga mimi"
Kijana aliyekutana na masaibu ya Scorpion