COMRADE CHRIS HANI
Member
- Sep 25, 2012
- 63
- 15
....kamanda...kuna uhalifu umefanyika...mali zimeharibiwa...polisi lazima wafanye kazi yao...lkn mahakama ndio itakayohukumu....take note...kuna dalili kuwa kulifanyika uchochezi wahalifu wakapata nafasi kujiingiza kwenye maandamano (ambayo labda yalikuwa halali, na yenye tija kwa waandamaji kimaslahi)....na wakafanya kile ambacho tumetaarifiwa kupitia vyombo vya habari....wanasema waswahili..kwenye msafara wa mamba kenge wanakuwepo pia...waliopanga maandamano(ya mbagala) wana stahili kuwajibishwa kk....saa ingine hudhani, sheria ya maandamano ktk nchi za kiarabu za ghuba...zinaweza kuwa ni heri kubwa kwetu kuzidi sheria za maandamano tulizochukua toka "mataifa ya kimagharibi"I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.