Polisi wanafanya fujo,Sheikh Ponda na Sheikh Farid ni harmless religious fanatics

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
3,007
2,429
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.
 
Ungejua kwa nini wamekamatwa ungejua kwa nini wasingekamatwa mapema kabla hata hawajafikia hiyo stage waliyofika sasa
 
Haya yote ni kazi nzuri ya kutukuka ya huu utawala duh..nchi Nyerere aliiacha ikiwa salama saiv waswahili wametuharibia nchi yetu kabisaaa
 
But what if they mobilize other group of people to do evil things?
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Hivi ulikuwa unataka kufikisha ujumbe gani haswa?? get you brain checked a..h..
 
waislam wanataka kuchua nchi, sijui watatawalaje? Maana mwenzao (yule waliyemchapa vibao) alidhani uchumi unakuzwa kwa ku print mahela meeeeeengi
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Continue with your slumber; ukizinduka ndio utaelewa kwanini petrol bombing a church is not an issue any seroius minded person can afford to trivialize!!
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Non sense
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. ....

Point of correction Ndg Nyerere, we are talking of CHURCHES sio a church... Kama bado huoni tatizo then would advise you keep enjoying your slumber
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Nashukuru kwa kukiri kua hujui kinacheondelea, kwania hata katika maelezo yako ni sawa na kwenda bafuni na kurudi umeoga bila hata kuvua nguo.
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Kwa kifupi tu ndugu yangu maji yameigia uchafu na hayachujiki labda yamwagwe yote na yatekwe mengine masafi.

Hali si shwari kwa waisilamu
Hali si shwari kwa wakristo
Hali si shwari kwa Zanzibar
Hali si shwari kwa Dar
Hali si shwari kwa Tanzania nzima

Tuungane na kumuomba mwenyezi mungu atunusuru watanzania wote
Amen
 
Kwa kifupi tu ndugu yangu maji yameigia uchafu na hayachujiki labda yamwagwe yote na yatekwe mengine masafi.

Hali si shwari kwa waisilamu
Hali si shwari kwa wakristo
Hali si shwari kwa Zanzibar
Hali si shwari kwa Dar
Hali si shwari kwa Tanzania nzima

Tuungane na kumuomba mwenyezi mungu atunusuru watanzania wote
Amen

Tumefika hapa kwasababu viongozi wa Tanzania wameshindwa kutimiza wabiju wao na badala yake wameingiza siasa kwenye kila jambo na mtaji wao wa kisiasa ndiyo gharama wanayolipa watanzania sasa. haingii akilini wakati watanzania wameshikwa na mshituko wa woga na wasiwasi juu hili linalondelea akina Ponda wala hawaoni haya kutoa matamko wazi wazi ya kujipongeza kwa kile walichofanya na kutishia kufanya makubwa zaidi, ama laa hilo halitoshi Ponda amekamatwa watu hawaoni shida kuandamana ili kushinikiza aachiwe huru. Najiuliza hivi sheria zimewekwa ili kumlinda nani?
 
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.

Usikose kuangalia kipindi cha matukio ya wiki ITV siku ya jumapili saa 12 na nusu,siku nyingine usiandike wala kuchangia kitu usichokijua!
 
Back
Top Bottom