Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.