Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
Nadhani kuwekwa ndani kwa lulu ni kwa usalama wake,hata kama ana hatia ama hana hatia.
wao polisi wanasema ni mtuhumiwa wa mauaji.............wakati ushahidi wala hawaukusanyi au hata kuuzuia usiharibiwe pale wanaporuhusu maombelezi yaendelee kwenye eneo la tukio........khalafu yeye ikumbukwe ndiye aliyetoa taarifa ya tukio kwa mdogo mtu na polisi sasa khofu ya kudhuriwa inatoka wapi?