Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ndio, jambazi ni kuuliwa tu.
hii safi sana wakipitisha kisheria naanza na kikwete, rostam, lowasa, chenge..
Ndio, jambazi ni kuuliwa tu.
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Huyu jamaa anayeshabikia mauaji hayo ya polisi nadhani atakuwa anakaa kota za polisi ambapo kila kitu wanapewa bure,hajui kuwa wanao pigwa risasi na kuuawa ni watanzania wenzake.Hivi unatetea nini Mkuu? Maswali yako hayaonyeshi nia ya kupata maelezo bali kutetea wenye nguvu. Ni vigumu kuamini unafanya uyafanyayo kwa utashi wako.
Kweli kabisa na bado kidogo tutaanza kuwapongeza mashujaa hawa maana kitendo cha kumvamia polisi wewe una mkuki na yeye na ana bunduki ni cha kijasiri sana kwa hapa kwetu Tanganyika maana tunaonewa na hii ni ishara tosha kuwa tumechoka...watu watakapochoka watachukua hatua mikononi mwao na polisi wengi watauawa!!!!1 si umesikia huko Nzega na Sumbawanga,wananchi wamechukua hatua mikononi mwao na kuua polisi kutokana na ukandamizaji na uonevu kama huo. Hii ni mwanzo tu! serikali isipochukua hatua kwa maonevu haya kila kitu kina ukomo wa kuvumilia.
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Sasa mkuu mbona unapingana na sheria?umesema hamna sheria ya kuua, then badae unataka tuwaue polisi...kwa hiyo unataka vita?
Sasa mkuu mbona unapingana na sheria?umesema hamna sheria ya kuua, then badae unataka tuwaue polisi...kwa hiyo unataka vita?
FaizaFoxy, inaonekana you are a very cold, hearless person. majibu yako hapo juu yananifanya neseme hivyo. Polisi hawana mamlaka kisheria kuuwa -unless kwenye extreme situation (life threatening situation). Lakini tumeona matukio ya polisi kuuwa raia wasiokuwa na hatia wala silaha inazidi kuongezeka. Maana yake polisi wanauwa hata kama hawako kwenye extreme situation. Mwaka huu peke yake wameuwa watu wasiopunguwa 70!
Your suggestion kwamba hawa waliopigwa risasi huko Tabora wanaweza kuwa majambazi, are you saying Mbunge Sakaya (CUF) alikuwa amezungukwa na majambazi? Na hayo majambazi yalikuwa na silaha? na walikuwa wanatishia usalama wa polisi?
Kinachopita tabu kwenye message yako si tu unaonesha how cold you are dhidi ya binadamu wenzako ila kwa sababu unazozijuwa wewe mwenyewe umeamuwa ku-destroy reputation ya hao walipigwa risasi na polisi!!!!
Kama Osama BIn laden?Ndio, jambazi ni kuuliwa tu.
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Haipo sheria ya mtu kumuua mtu mwingine,mie nasema jamani inafaa tukaanza kutoa kichapo kwa polisi pindi tunapoweza vinginevyo watatumaliza hawa...
polisi wetu ni vilaza,kama wanaua nao ni lazima wauliwe na kamwe hawawezi kutushinda