Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Polisi wamefanya makosa makubwa sana na huenda wakashitakiwa katika vyombo vya ndani au vya kimataifa ,hakuna sababu ambayo wanaweza kusema ikakubalika, hakukuwa na fujo wala mikusanyiko wanayoidai.
Mkusanyiko ulikuwepo na hata baadhi ya viongozi walikuwepo hapo ni mkusanyiko wa kuwaombea wale waliokumbwa na kuzama na meli .wakiwemo waliopotea,waliopoteza maisha na waliopona.
Ni jambo gani lililowafanya polisi kwenda kupiga mabomu na wao ndio waliosababisha fujo kama lile fujo liliopita ,chanzo ni polisi.
hebu consult books ndo utajua vigezo vya kupelika kesi ktk mahakama za kimataifa then rudi hapa ufute huu urojo ambao haujaiva vizuri.