Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Mwalimu wako alikufundisha shujaa ni kuanzia miaka mingapi? acha kukremu zungusha ubongo
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Naomba nijulishwe source please, Nahitaji ksafiri leo toka Dar kuja Rausha kuhudhuria kama mashujaa wataagwa hapo NMC. Tafari source please.
Mama yako anaogopa kifo na ndio maana anakwambia kuwa usiwaseme vibaya marehemu.wakina idd amini wanasemwa mpaka leo.......mauaji yale hayakuwa na umuhumi hata kidogo ni kama mmelazimisha....huwezi kuvamia kituo cha polisi eti mnakwenda kuwakomboa wakina mbowe alafu unataraji polisi wawachekee.......wangengoja mpaka kesho hao kina mbowe wasingetoka??????kifo cha kujitakia sawa na wale wanaojitoa muhanga huko middle east na watu wao wanawaita mashujaa kumbe ni wajinga.....hawa sio mashujaaMy mother taught me that in life I should never talk bad of the stupid and the dead!!
Mama yako anaogopa kifo na ndio maana anakwambia kuwa usiwaseme vibaya marehemu.wakina idd amini wanasemwa mpaka leo.......mauaji yale hayakuwa na umuhumi hata kidogo ni kama mmelazimisha....huwezi kuvamia kituo cha polisi eti mnakwenda kuwakomboa wakina mbowe alafu unataraji polisi wawachekee.......wangengoja mpaka kesho hao kina mbowe wasingetoka??????kifo cha kujitakia sawa na wale wanaojitoa muhanga huko middle east na watu wao wanawaita mashujaa kumbe ni wajinga.....hawa sio mashujaa
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.
Mama yako anaogopa kifo na ndio maana anakwambia kuwa usiwaseme vibaya marehemu.wakina idd amini wanasemwa mpaka leo.......mauaji yale hayakuwa na umuhumi hata kidogo ni kama mmelazimisha....huwezi kuvamia kituo cha polisi eti mnakwenda kuwakomboa wakina mbowe alafu unataraji polisi wawachekee.......wangengoja mpaka kesho hao kina mbowe wasingetoka??????kifo cha kujitakia sawa na wale wanaojitoa muhanga huko middle east na watu wao wanawaita mashujaa kumbe ni wajinga.....hawa sio mashujaa
Hatutaki kuwaona hao kunguni (police) maeneo tutakayowaagia mashujaa wetu.:frog:
Wewe umeambiwa wamekubali unataka nini tena haya basi wamehongwa.thanks mkuu kwa taarifa, imekuwaje nasikia mwanzoni police waligoma kutoa kibali
Yaani mimi nimesha jikoki wole wao walianzishe hiyo kesho...Mungu mkubwa, tukawaage mashujaa wetu, Naomba wanachadema tusiwashambulie polisi ili waweze kupata sababu ya kutokea, mungu yupo malipo huwa ni hapa hapa duniani, nawamba sana wapiganaji wetu arusha tuoneshe ukomavu na ustahimilivu wa hali ya juu ili tuweze kuwa prove wrong polisi na mafisadi wa CCM